Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
Hahahahaa soma hapo juu uone mwenyewe
sasa mkuu unacheka! Mbona hvyo tena?!
Hahahahaa soma hapo juu uone mwenyewe
Huna confidence kijana
Mh mie kwa utamaduni wetu sitakiwi kutia neno hapo.. Mpaka upitie kwa mababu waku evaluate, wazee wa kijiji, wajomba n.k.. lol.
swadakta kipenz najiandaa kuja kwa mababu zako na hao wajomba.
Ila nibebe zawadi gani sasa?!
Zawadi isikupe shida.. Chochote tu upendacho. Ila wazee watata wale, ukiwauliza niwaletee nini watakukomoa hao.
Weweee.....Pm za nini ongea hapa hapa
haaah haaah mkuu hapa haifa. Tutamwagaje mtama kwenye kuku wengi! Vp unaonaje lakini mchakato unavyokwenda hapa
Masharti erick kashakwambia lakini? Muulize vizuri...
Nimeshamwambia yamemshinda anataka kukimbilia kwenye PM teh
Weweee.....Pm za nini ongea hapa hapa
khaaaaaa!
mmmmmhhhh!!.... Bishanga?! Bepari la kihaya lol! Huyo hapana mkuu. Huyu ni mtu hatari wa hawa Ke. Badala ya kunipigia pande atanipora huyu.
Nitamtumia hata Husninyo,SL. Kipipi,Lizy na my dada ADii,hata Afrodensi anaweza hii kazi.
Ila upande wa male uwe ww tu wengine siwaamini mkuu lol
mmmh!
!!
!!
mmmh nn na ww nimekutafuta muda wote huo!
mwambie huyo. Lol.
nipo busy usinitafute. Source.. Jaffarai.