Wanawake wakibeba mimba wanatukomoa

Wanawake wakibeba mimba wanatukomoa

hatudeki jamani complication tu za homon hizo. mkeo akiwa na mimba ndo kipindi cha kuonesha mapenzi kwake we mdekeze ataman kubeba tena co mtu anahifungua akikumbuka maudh ulompa akiwa mjamzito anataman kufunga kisazi. kuweni wavumilivu mieztisa c ming.
 
Wengi wachangiaji wa maada hii wamesema wajawazito wengine hizi fujo wanazoleta wanaigiza aisee mimi nakataa kabsa,Mimba ni noma kwanza hata akufanyie fuju kiasi gani huwez kumpiga km unabusara lkn,Ila ni muda mzuri sana wa kumliwaza wife kwa kuwa hichi kipind ni kigum sana na inahtaj moyo wa uvumilivu hapo ndio muda wake yy mke kudeka na kuona kama kweli unampenda na kumjali.....hii ndio fursa ingawa tunafukuzwa ndani kwamba Tunanuka ,wanatuchukia ,anakufokea yaani aaah mradi siku ziende tu....Nakumbuka mwaka juzi wife akiwa mjamzito yye alikuwa hatak kbsa kuongea na mimi,nikiwa hom anakula buyu,ila toka hatua moja simu hiyo eeh umeshaenda kwa Malaya zako wakat amekutuma kitu dukani, Ukiwahi kurud unasikia muda wote unashinda ndani siuende nje ukakae na wenzako haya ukienda dk2 simu hiyo utasikia na ulale huko huko. Usiku ndio kazi sasa yaani nikutafuna mchele mbichi na kutafuna barafu....jaman eeehh...Nashukuru nilimvumilia bahat nzuri kaniletea matwins mapenz yamerud km wachumba vile

Mkuu nitavumilia unajua ukishajua chanzo ni nini haikupi shida sana ingawaje chamoto tunakipata.
 
hatudeki jamani complication tu za homon hizo. mkeo akiwa na mimba ndo kipindi cha kuonesha mapenzi kwake we mdekeze ataman kubeba tena co mtu anahifungua akikumbuka maudh ulompa akiwa mjamzito anataman kufunga kisazi. kuweni wavumilivu mieztisa c ming.

Mhhhhhh..
 
hatudeki jamani complication tu za homon hizo. mkeo akiwa na mimba ndo kipindi cha kuonesha mapenzi kwake we mdekeze ataman kubeba tena co mtu anahifungua akikumbuka maudh ulompa akiwa mjamzito anataman kufunga kisazi. kuweni wavumilivu mieztisa c ming.
Anitaaa!
 
Mara nyng ni miez mitatu ya mwanzo mimba changa inasumbua sana
 
Kweli aisee madrama yasizidi sana aisee.Mtu anasumbua mpaka anakera kisa mimba.
Nafurahi kuona baadhi ya wanawake wanaweza ku-ihandle hiyo hali.Big up mummy.
Mwingine anasumbua wakati mimba yenyewe kapewa na mwingine anamu-act-ia tu jamaa kwa drama za ajabu ajabu.

Ndugu yangu huyu unaye mpongeza namshauri amshukuru Mungu kwa hali nzuri anayokuwa nayo ktk kipindi cha ujauzito kwani kila ujauzito unakuja kwa staili yake,mimi mida hii ni mjamzito kila ninachokula ni shida nakifurahia kwa muda baada ya hapo naagiza kingine bajeti vuruvuru ikifika jion ukipiga mahesabu ya vitu nilivyonunua na kuonja kidogo kidogo shida.
 
Mabeki tatu na wanafunzi wakibeba mimba wanakomaa nayo kimya kimya bila kusumbua mtu, hawa walio kwenye ndoa ndio wana hizo sera za mimba kutaka mafenesi saa nane usiku!
 
Amekushitukia utahamia kwa Housegirl yeye akatangulia kuweka kauzibe
 
hatudeki jamani complication tu za homon hizo. mkeo akiwa na mimba ndo kipindi cha kuonesha mapenzi kwake we mdekeze ataman kubeba tena co mtu anahifungua akikumbuka maudh ulompa akiwa mjamzito anataman kufunga kisazi. kuweni wavumilivu mieztisa c ming.

Da ila mateso hayo jamani ila umesikika
 
Nilishavaa sana mashati na t-shirt nyeupe ili aridhike siku nikivaa rangi nyingine panachimbika,sisahau nililala nje na baridi la Mbeya kisa ndani harufu ya sofa inamfanya atapike na mwendo ulikua kupaka baby care tu haaahaaa inakera ila ina raha yake maana ndani ilikua kama kuna wehu wawili,mbaya zaidi akapata miscarrige mwishoni sana bado naitamani ile hali ila Mungu hajabariki mpaka leo na muda mrefu umepita.
Hongera mkuu Mungu awaongoze wewe vumilia tu yataisha ila navitamani viatu kama vyako.
 
Mabeki tatu na wanafunzi wakibeba mimba wanakomaa nayo kimya kimya bila kusumbua mtu, hawa walio kwenye ndoa ndio wana hizo sera za mimba kutaka mafenesi saa nane usiku!

Mwingine anasumbua kweli wakati mimba yenyewe kapewa na mwingine yaani analeta drama za kichawi mchana kweupe.
 
Ndugu yangu huyu unaye mpongeza namshauri amshukuru Mungu kwa hali nzuri anayokuwa nayo ktk kipindi cha ujauzito kwani kila ujauzito unakuja kwa staili yake,mimi mida hii ni mjamzito kila ninachokula ni shida nakifurahia kwa muda baada ya hapo naagiza kingine bajeti vuruvuru ikifika jion ukipiga mahesabu ya vitu nilivyonunua na kuonja kidogo kidogo shida.

Pole sana mummy.Nakuombea kwa MUNGU ujifungue salama.
 
Acha hizo zote sasa kuna hii:
Mke wa kaka angu, yeye alikuwa anamwambia kaka akitoka tu kazini mara moja arudi nyumbani, akisharudi anachukua viatu vya kaka anaanza kunusu, akawa anasema akinusa ile harufu ya viatu yeye ndo roho inakuwa kwatu, tena akawa anamwambia kaka asivae soksi. Just imagine takribani miezi 8 kaka hakuvaa soksi.
mbaya zaidi kaka achelewe kurudi nyumbani, patachimbika hapo, akifika tu mlango anasema lete viatu. Duh!

yani usiku huu wa saa kumi nimecheka kwa nguvu kama jinni!
 
Ni hali ya kawaida,mi kipindi changu sikutaka kuongea na mwenzangu hd najifungua. Yaan nilikuwa nahisi km donge fulan limenikaba rohon hivyo nafuu yangu ilikuwa ni kutomsemesha. Alikuwa anataman sn kuongea na mm ila ndio hivyo na ht nilipokuwa namjibu basi badae ntahangaika sn kwa kutapika.

Thanks God now mtoto wetu ana mwaka na miezi 6 ila baba ndo hayupo tena......dah kwakweli Mungu ana makusudi yake,hamu yote ya mtoto aliyokuwa imepotea km ndoto. Apumzike kwa amani!
 
Ni hali ya kawaida,mi kipindi changu sikutaka kuongea na mwenzangu hd najifungua. Yaan nilikuwa nahisi km donge fulan limenikaba rohon hivyo nafuu yangu ilikuwa ni kutomsemesha. Alikuwa anataman sn kuongea na mm ila ndio hivyo na ht nilipokuwa namjibu basi badae ntahangaika sn kwa kutapika.

Thanks God now mtoto wetu ana mwaka na miezi 6 ila baba ndo hayupo tena......dah kwakweli Mungu ana makusudi yake,hamu yote ya mtoto aliyokuwa imepotea km ndoto. Apumzike kwa amani!

Yesu wangu, imenifanya niumie! Pole sana mshkaj wangu!
 
Nilishavaa sana mashati na t-shirt nyeupe ili aridhike siku nikivaa rangi nyingine panachimbika,sisahau nililala nje na baridi la Mbeya kisa ndani harufu ya sofa inamfanya atapike na mwendo ulikua kupaka baby care tu haaahaaa inakera ila ina raha yake maana ndani ilikua kama kuna wehu wawili,mbaya zaidi akapata miscarrige mwishoni sana bado naitamani ile hali ila Mungu hajabariki mpaka leo na muda mrefu umepita.
Hongera mkuu Mungu awaongoze wewe vumilia tu yataisha ila navitamani viatu kama vyako.

Mungu ana sababu zake mkuu..kama ipo ipo tu! Kesho kuila leo ni uroho!..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom