Wanawake wakibeba mimba wanatukomoa

Wanawake wakibeba mimba wanatukomoa

Ila harufu za kiume na wali vinachefua...

Ni kweli kabisa mie kuna kaharufu kalikua kananipotezea mood kabisa yaani akiwa mbali natamani nimuonee ila akifika tu na ile harufu duh najitahidi nijichekeshe ila nashindwa yaani najisikia ovyo ovyo basi tu.
 
:becky::becky::becky:, hata hiyo harufu huwa si ya ukweli. Sometimes kile kijasho chake cha kwapa kinakuwa kama pafyumu.

Ni kweli kabisa mie kuna kaharufu kalikua kananipotezea mood kabisa yaani akiwa mbali natamani nimuonee ila akifika tu na ile harufu duh najitahidi nijichekeshe ila nashindwa yaani najisikia ovyo ovyo basi tu.
 
Mmmh, hili huwa gumu sana, kumpenda mtu wakati wa mimba ni mateso. Hata akienda dukani unakwazika, hapo naye hakuelewi unakwazika nini yeye kutoka nusu saa. Ukimfuata kila mahali napo unambana, sheeeeda tupu.

Wakuu. Mke wangu katika hali hii kazidisha kunipenda sana,nikitoka tu nyumbani natafutwa. Ila yeye hapendi nyama,wali...anapenda sana ndizi rost,chips. Ila vituko vya ghafla haviishi kwake,mf anaweza kumzingua mtu kwa hasira...ila wakati wa ujauzito kwa ndoa hizi ni kumwomba Mungu tu sijui afupishe kipindi ata kiwe miezi mitatu...maaana.
 
Wangu alibeba... Ikawa kindubwendubwe........ Anakula ugali wa muhogo na nyanya chungu za kuchoma.... Then nsipokula nae hayo makitu yake ana mind....hapend ugal kabisa..... Akitaka andaz la mgahawa flan na alipate..... Mananasi na soda vilimkoma...... .... Wiv unakuwa mkali...... Uuuuuh muda wote tuwe wote....

Lkn sasa naona thaman ya kuitwa baba...... Vumilia kijana.... Msiwape mimba wakiwa makwao....
 
lugha chafu za nini sasa... naomba uzianzishe ligi ambayo hutamaimaliza tafadhali, nina mdomo mchafu sana ila naomba usiniharibie siku yangu mapema yote hii.
 
Acha hizo zote sasa kuna hii:
Mke wa kaka angu, yeye alikuwa anamwambia kaka akitoka tu kazini mara moja arudi nyumbani, akisharudi anachukua viatu vya kaka anaanza kunusu, akawa anasema akinusa ile harufu ya viatu yeye ndo roho inakuwa kwatu, tena akawa anamwambia kaka asivae soksi. Just imagine takribani miezi 8 kaka hakuvaa soksi.
mbaya zaidi kaka achelewe kurudi nyumbani, patachimbika hapo, akifika tu mlango anasema lete viatu. Duh!
 
Juzi kuna dogo kaja na mama home kutupa hi dogo kashilia muhindi wa kuchoma wacha aurukie dogo alipiga kelele hadi nikaingilia kati hindi likarudi. Mimba si mchezo ilinibidi niingie mtaani kutafuta mahindi ya kuchoma tokea hapo ni text msgs tu za mahindi zimejaa kwenye simu. Sina jinsi nimekuwa baba mahindi full kubebelea.
 
Ngoja muda ukifika tuone huyo wangu atafanya yapi na hapo ndo nitajua njia ya kuikabili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom