Mkuu pole!
Ila ktk ulimwengu wa roho (hayo huwa ni mapepo) kwa iman yangu,
Mungu aliweka ndoa kama jambo la faraja na upendo, ujio wa mtoto ni furaha kwa wote wawili, (iweje mwingine asononeke kwa ujio huo) inafika mahali unajuta,
Mabadiliko ya mwili yapo tena sana tu na ukiyaendekeza ndo huge uka mapepo sasa!
Kitaalamu wanasema mtoto akiwa tumboni anaanza tambua uwepo wa watu wanaomzunguka (siko vizur eneo hilo) that's wazazi, na hapo ndo upendo unapoanzia, hutaki kulala na baba wa mtoto, upendo wa baba mtoto ata sense saa ngapi ilihali kutwa yuko kwenye mihangaiko,
Tangu siku ya kwanza hadi ya mwisho umebeba mimba wewe ni mi hasira tu! Unategemea mtoto atakuwa na upendo? Mtoto ni baraka! Isigeuke karaha
Ni wachache wataliewa hili!!
Tufike mahali tutofautishe mapepo na Mabadiliko ya mwili!