Nakumbuka kipindi shemeji yangu (mke wa kaka) kapata mimba, alikuwa hataki kukaa na mumuwe akaja home, kipindi hiko nipo field trainning, yeye kila kitu mimi, nikienda sehemu anataka aende nami.
Nikipigiwa simu au kuongea na msichana njiani huyo binti atanuniwa, mimi nabaki kucheka. Nilikuw nina habit ya kufanya evening walk sasa mother kasem nenda naye afanye zoezi maana anakufata, pigisha route ndefu lakini hakomi kesho nafatwa tena.
Kimbembe asubuhi naamshwa niangalie nae CD za majuto 6am. Nisipo kuwepo hataki kula ( kama mimi ndo mumewe)
Nikarudi chuo akawa anatafuta excuse ya kuj, mara aseme home Hataki nile magengenu daily anapika ndizi au maandazi analeta nile anashinda room, Ikabidi niende na kurudi home kuepuka kumtesa na mim fulu kujishtukia
Ilikuwa kama movie mengi sana, ila after kupata bby boy akawa fulu aibu anasema kanisumbua sana.