Wanawake wakibeba mimba wanatukomoa

Wanawake wakibeba mimba wanatukomoa

Hivi ni kweli hizi mimba mke akibeba na mume pia hupata mabadiliko? Maana kuna jamaa kipindi mke wake mjamzito ile miezi 3 ya mwanzo alikua akinywa bia hata nusu chupa afikishi anaenda tapika ila baadae hiyo hali ilikuja kuisha,Je hii kitu kisayansi ipo kweli?
 
Hahahahahahahah lol! Na wewe kwanini ulikuwa ukitumwa dukani unachelewa kwa kupitia kwa Malaya zako? Dah! hiki kipindi Wanaume inaidi kuwa na uvumilivu na uelewa wa hali ya juu ili kuepusha tafrani za aina yoyote na hivyo kusaidia katika ujauzito kuendelea salama salmini mpaka kujifungua pia kuwe salama. Kuna waume wenye bahati zao mimba miezi tisa haya yote huwa hawakutani nayo. Hongereni kwa mapacha.

Wengi wachangiaji wa maada hii wamesema wajawazito wengine hizi fujo wanazoleta wanaigiza aisee mimi nakataa kabsa,Mimba ni noma kwanza hata akufanyie fuju kiasi gani huwez kumpiga km unabusara lkn,Ila ni muda mzuri sana wa kumliwaza wife kwa kuwa hichi kipind ni kigum sana na inahtaj moyo wa uvumilivu hapo ndio muda wake yy mke kudeka na kuona kama kweli unampenda na kumjali.....hii ndio fursa ingawa tunafukuzwa ndani kwamba Tunanuka ,wanatuchukia ,anakufokea yaani aaah mradi siku ziende tu....Nakumbuka mwaka juzi wife akiwa mjamzito yye alikuwa hatak kbsa kuongea na mimi,nikiwa hom anakula buyu,ila toka hatua moja simu hiyo eeh umeshaenda kwa Malaya zako wakat amekutuma kitu dukani, Ukiwahi kurud unasikia muda wote unashinda ndani siuende nje ukakae na wenzako haya ukienda dk2 simu hiyo utasikia na ulale huko huko. Usiku ndio kazi sasa yaani nikutafuna mchele mbichi na kutafuna barafu....jaman eeehh...Nashukuru nilimvumilia bahat nzuri kaniletea matwins mapenz yamerud km wachumba vile
 
Hahahahahahahah lol! Na wewe kwanini ulikuwa ukitumwa dukani unachelewa kwa kupitia kwa Malaya zako? Dah! hiki kipindi Wanaume inaidi kuwa na uvumilivu na uelewa wa hali ya juu ili kuepusha tafrani za aina yoyote na hivyo kusaidia katika ujauzito kuendelea salama salmini mpaka kujifungua pia kuwe salama. Kuna waume wenye bahati zao mimba miezi tisa haya yote huwa hawakutani nayo. Hongereni kwa mapacha.

BAK: Asante ndugu yangu.....kwani hata nilikuwa nachelewa huko dukani? Hamna yaani ndio hali tu jinsi ilivyokuwa ila hadi sasa nimejifunza vitu vingi sana tofauti na awali.Mwanamke ni binadamu mwenye moyo wa aina yake....we acha tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahaahahaha usijifu peke yako..msifu na aliyeibeba tena umheshimu kweli kweli maana amebeba evidence ya kufanya Sex bila kondomu tena kwenye siku hatarishi
miss chaga aione hii

kwi kwi kwi.....
 
LOL! Chezeya mimba weye!!!! Ila wengi huwa wanazidi kuwa Warembo kupita kiasi.



Hahahaahaaa usinikumbushe aiseeee. Nilishabebeshwa mahindi ya kuchoma yenye pilipili daily. Pamoja na supu na chapati. Acha kabisa kabisa
 
LOL! Chezeya mimba weye!!!! Ila wengi huwa wanazidi kuwa Warembo kupita kiasi.


Kulea mimba wakati mwingine ni utumwa usiokuwa na maana aiseee. Mara ya mwisho nilikesha hadi asubuhi pale Marie Stopes Mwenge. Yaani Aliingia kujifungua saa 11 asubuhi. Nimekesba na mbu, hataki nitoke wala nisogee.hahahaaaaa as if ndio anajifunza kujifungua. Halafu kesho kazini ili nikajaze zile siku tatu za kumlea Mama. Kha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nakumbuka kipindi shemeji yangu (mke wa kaka) kapata mimba, alikuwa hataki kukaa na mumuwe akaja home, kipindi hiko nipo field trainning, yeye kila kitu mimi, nikienda sehemu anataka aende nami.
Nikipigiwa simu au kuongea na msichana njiani huyo binti atanuniwa, mimi nabaki kucheka. Nilikuw nina habit ya kufanya evening walk sasa mother kasem nenda naye afanye zoezi maana anakufata, pigisha route ndefu lakini hakomi kesho nafatwa tena.
Kimbembe asubuhi naamshwa niangalie nae CD za majuto 6am. Nisipo kuwepo hataki kula ( kama mimi ndo mumewe)
Nikarudi chuo akawa anatafuta excuse ya kuj, mara aseme home Hataki nile magengenu daily anapika ndizi au maandazi analeta nile anashinda room, Ikabidi niende na kurudi home kuepuka kumtesa na mim fulu kujishtukia

Ilikuwa kama movie mengi sana, ila after kupata bby boy akawa fulu aibu anasema kanisumbua sana.
 
Nakumbuka kipindi shemeji yangu (mke wa kaka) kapata mimba, alikuwa hataki kukaa na mumuwe akaja home, kipindi hiko nipo field trainning, yeye kila kitu mimi, nikienda sehemu anataka aende nami.
Nikipigiwa simu au kuongea na msichana njiani huyo binti atanuniwa, mimi nabaki kucheka. Nilikuw nina habit ya kufanya evening walk sasa mother kasem nenda naye afanye zoezi maana anakufata, pigisha route ndefu lakini hakomi kesho nafatwa tena.
Kimbembe asubuhi naamshwa niangalie nae CD za majuto 6am. Nisipo kuwepo hataki kula ( kama mimi ndo mumewe)
Nikarudi chuo akawa anatafuta excuse ya kuj, mara aseme home Hataki nile magengenu daily anapika ndizi au maandazi analeta nile anashinda room, Ikabidi niende na kurudi home kuepuka kumtesa na mim fulu kujishtukia

Ilikuwa kama movie mengi sana, ila after kupata bby boy akawa fulu aibu anasema kanisumbua sana.

Hawa viumbe ni shida.
 
Ahahahaaaaa mimba iacheni jamani,mimi wife nimekuta amesafisha chumba cheupe hakuna cha mafuta wala unyunyu,na nilipoingia tu nikafukuzwa mbaya eti nanuka,hapa sasa imebidi nisepe kwenye bar ya jirani ndio navuta muda wa kwenda home,ili nikifika nikute yuko chumbani anelala, nioge fasta niangushe sebuleni maana hakuna jinsi hapo
 
Pole sana mpendwa! Unapita shida nyingiii mwisho wa siku unabaki mikono mitupu! Naelewa maumivu yako yalishanikuta pia!

Yaani ni kumshukuru Mungu tu, miezi 9 ya mateso halafu unaishia kuona wenzio tu wanafurahia watoto wao... Pole na wewe pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom