kinywele ki1
Senior Member
- Jan 18, 2014
- 119
- 23
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?
Muache aende zake tu