Wanawake wafanyakazi ndivyo walivyo katika ndoa?

habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?

Muache aende zake tu
 
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?

Pole sana.Mawazo kwamba wanawake tunapowaoa kuwa tunapaswa tuwatunze kwa kila kitu hata kama wana kazi na wengine wanamishahara mikubwa kupita wanaume ni ya kizamani!Fanya hivi,ongea naye kuhusu hilo na jinsi unavyojihisi.Kisha wekeni mikakati ya pamoja kusaidiana katika maisha kama ni mwelewa utamuona akibadilika.Kama hakuelewi husisha watu wazima wawasaidie.
 
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?

Mkeo ni wa kabila gani?
 
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?

Unaoa ili usaidiwe? Haahaaahaahaaa, teh teh teh teh teh teh kwi kwi kwi kwi kwi, kwani ulioa na mshahara wake? Ulimsomesha?
 
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?

Kaa naye chini mkubaliane anakulipa fidia kiasi gani kila mwezi ya muda wako unaomwachia kukaa ofisini; kama halipi mwachishe kazi awe anakufulia tuuu hapo nyumbani
 
Nafirira kila kitu kina chanzo chake.
Ila mie ili niwezekuchangia hembu nipe haya:
a)Mkeo ni Kabila gani na wewe ni kabila gani
b)Mna watoto wa ngapi
c)Kazi yake ni ipi
d)Wewe kazi yako ni Ipi
e)Mnamuda gani kwenye Ndoa
f)Na je unawake wangapi
g)Una watoto wa ngapi mbali na yeye
h)Na yeye je ulipomuoa alikuwa na watoto?na je ni wa ndani ya ndoa au nje?

Hapo nahisi itatoa mtiririko mzuri,inawezekana akawa tatizo ni yeye au tatizo ni wewe pia.Ila watu tunaona unaonewa kwakuwa wewe ndio umepost.
 
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?

Dah, hebu nifahamishe hizi "lotion" zinajengwa au anataka kufunguwa kiwanda cha "lotion"? hueleweki unajuwa.

Halafu, nnakuuliza hivi, unasema umefunga ndoa ya "Kiislaam", kwani wewe ni dini gani? maana kama wewe si Muislaam, hakuna ndoa hapo.

Na kama wewe ni Muislaam, hivi hujui haki za mke na mume katika Uislaam ni zipi? yaani kwa maana nyingine wewe ulioa tu kama msukule? hata khutba ya ndoa kweli ilifanyika ulipooa? maana ungeisikiliza hiyo khutba usingekuja na utumbp kama huu uliouleta.
 
Yani hilo tu ndo umuache mkeo? Jamani mbona pole yakehuyo bibie, kwani we kaz yako nn? Mkeo ni jukumu lako kipato chake yy ni ziada isiyo kuhusu unless mkubaliane na yy aridhie. Me mme wangu hata hajui napata sh. ngapi na hajawah kuniuliza and we are happy
 
moja ya vigezo vya mke nilivyo vizingatia ni kazi na kipatochangu ni chetu na chakwake ni chetu. nashuru alifuzu jaribio hilo, hadi sasa mwaka 10 swala la mapato na matumizi sio siri kwetu. nawashauri msilewe na mapenzi ya awali, unavomwanaza ndivo anavoamini maisha yenu. poleni wahanga.
 
Yani hilo tu ndo umuache mkeo? Jamani mbona pole yakehuyo bibie, kwani we kaz yako nn? Mkeo ni jukumu lako kipato chake yy ni ziada isiyo kuhusu unless mkubaliane na yy aridhie. Me mme wangu hata hajui napata sh. ngapi na hajawah kuniuliza and we are happy

Unakifanyia nn hicho kipato chako?
 
tatizo la wanawake wanapenda cha mwanaume kiwe chenu wote(cha wote) na cha mwanamkw kiwe chake peke yake.

bora tuwe single tuachane na mapenzi
 
Huyo mwenzio anajua hamtadumu katika ndoa. Ndiyo anajiandaa siku ya kuondoka asipate shida.
 
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?
Mkuu mbona,lotion ni ya kujipaka? Au ulitaka kusema rotion? Next time tumia lugha yetu ya kiswahili mbona ungesema ghorofa ungeeleweka?
 
Back
Top Bottom