Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
wanapenda kujibust
kujiona wao ndo wao
wanajua kila kitu
wanataka waongoze kwa kila sekta
kujifanya wamjiniiii kumbe mweeeeeeeeeeeee katoka kyela jana
Unaongelea wale wa kule mto Kagera..
wanapenda kujibust
kujiona wao ndo wao
wanajua kila kitu
wanataka waongoze kwa kila sekta
kujifanya wamjiniiii kumbe mweeeeeeeeeeeee katoka kyela jana
Mweeeee!! Wabaguzi , wababe kiaina!
Kwa yeyote mwenye kufahamu tabia zao,watu hawa anijuze.Please!
Wengi wao wamejaaliwa! Ni mijimama iliyopanda.na ushirikina huwa wanao
Wanawake wa Kinyakyusa wengi ni wababe sana na kwa wale wasio na kazi/elimu wakija town kazi wanayotaka ni u-bar maid, hata ukichukua house girl haichukui mwezi keshakimbialia bar.
Wanaume wao wanapenda mfumo dume sana and they are so arrogant.
In general Wanyakyusa hawatofautiani sana na Wahaya; arrogance, tharau, ubinafsi; Sorry kama nimeoffend Mnyakyusa yeyote humu but thats my experience nimesoma na wanyakyusa , ukimwomba mnyakyusa kitabu atakupiga chenga ili mradi asikupe na ampe mwenzie hata asiyehitaji.
ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Kutokana na hii thread nimegundua pia wanapenda kulipuka na kukasirika haraka. Humu ndani wanawake na wanaume wa kichagga wanasemwa kila kukicha lakini wala husikii m2 kakasirika wala kurushiana maneno, inawezekana ukweli unauma.
Me luv them...
Unaongelea wale wa kule mto Kagera..
Hata yale uliyoandika ni uongo??Mengi yanayoandikwa kwenye thread hii ni ya uwongo na wala sio sifa za Wanyakyusa.
Hata yale uliyoandika ni uongo??
halafu wewe una kama na madharau flani na watu wa mby vile,..nimekusoma jana kwenye ile thread ya kibonde ukileta madharau yako,..nilivyotaka kukupa ukweli wako mod waka imovuzisha....acha upuuzi director
mhhh!!!!!
sjui km kweli bt wote niliowashuhudia kwa majiran na marafiki ni kwamba WANAUME WA KINYAKYUSA WANAPENDA SANA UDUMELISM..yaan kushurutisha tu ..anataka aexercisse udumelism ata kwa mtoto wa miaka 2... ukifanya kitu kdg tu anajihisi UMEMDHARAU,,,yaan full mashtukio
Mkuu thibitisha madharau yangu kwa watu wa mbeya'soma vizuri pale juu'nimezaa nao'mimi ni mkwe mbeya'kusema hawajui kukataa ni uongo?au thibitisha kuhusu guest bubu za bei rahisi'nimekaa pale mbeya sana mkuu'usinisome sivyo