Wanawake wa kichaga mkoje?

Wanawake wa kichaga mkoje?

hahaha pole mkuu kwa yaliyokufika but kumbuka kila mtu dunia hii anapenda pesaaa hata ungeoa mzungu sijui mchina vitu kama hivi ungekutana navyo tuuu
msiwalaumu wao tuuu hata makabila mengine wapo wanaolenda pesa kuliko hata wachaga
 
So your wife (being a one among thousands if not hundred thousands of chagga women) is a representative of all chagga women in Tanzania, right? Grow up. Ukabila utawafikisha pabaya all you chagga bashing people in this forum. For your information wachagga are the most hard working and educated people in Tanzania. That is in their history, go google their history then you will know biashara na ujasiri mali is in their blood. So bashing them aint going to make you all feel better or make your tribe better than them.

Kwahiyo unakanusha maneno ya mleta mada au?, mbona husomeki ?
 
Na sijajuta hata siku moja kwani amenifungua macho na naadmit bila kificho kwamba hali yangu ya maisha imebadilika sana for the better katika muda huu wa miaka 12 ya ndo a yetu.Ukishindwa na kasi ya binti wa kichaga just jump ship and just shut the duck up.
 
You can lose your precious stone by staring at worthless rocks.Take care and don't be swayed.
 
Wenzetu mlizaliwa benki au kwenye taasisi ya fedha,unakuta anakuambia pesa kwake ndio kila kitu,unajiuliza amezaliwaje,analipia wapi pumzi yake,umemuoa anapenda malumbano,kitu kidogo anagombana hatari.

Unafanya anavyotaka lakini siku ukishindwa kidogo, yale yote yaliyopita yamefutika pia, kama game zisizo na save option.

Unajuta kuoa, maana kuacha unawaza mwanao ataishije, wewe uliishi bila baba au mama unapenda mwanao afurahie kila uwepo wenu,hutaki apate shida,lakini kwa hili unajikuta unatamani kushindwa kuliko kushinda.
Pole kwa msalaba uliobeba
 
Hujajibu swali watu8 ni matambiko gani wanawafanyia yanayowafanye watu wengine washindwe kuishi nao?

Mkuu nadhani ni vyema ukijaribu kuuliza kwa wazee wako wa kaya, mambo mengine si lazima sana kuandika hapa...

Na nilichoandika hakina maana ni kwa familia zote hukutwa na hali hiyo...
 
Aisee mm hata nikipendwa na mchaga nasamehe maana kinachofata pesa
 
Mimi nilikuwa mbishi juu ya hilo kabila nikapata mmoja mpaka nikamtambulisha kwetu na nilipojitambulisha kwao akajua kazi imeisha akaanza vituko na kunisumbua nilimpiga chini na kukata mawasiliano mpaka leo anasumbua tatizo lenu mnawadekeza kwani ukimwacha yeye ndio mwenye K peke yake?Pia kuhofia watoto sio sababu kama mtu anauchezea moyo wako kila siku na kukukera si unamtimua baadae watoto wakikua unatawaeleza kwanini ulimwacha mama yao.
 
umemuoa anapenda malumbano,kitu kidogo anagombana hatari.

Umemuoa anapenda malumbano, okay, kwa hiyo ulikuwa unavumilia au unapenda na wewe malumbano toka mwanzo, sasa kwa nini unalalamika? Unaji contradict! Ni sawa na kusema mwanamke wangu amekondeana sana simpendi tena na shepu yake hii, na nilimuoa akiwa mwembamba sana! Sasa ambacho hukukijua ni nini toka mwanzo?
 
Mtoa mada pole sana...lakini hayo uliyoandika huku sidhani kama yatakusaidia kunusuru ndoa yako

Angalau yanawafumbua macho wadogo zetu na kuwafanya wafikilie mara mbili kuoa huko
 
Mkuu japo sio mara zote ni suluhisho ila tafuta mchepuko. Itakusaidia ukiwa ontop of stress. Ila zingatia zile sheria 10 za kuhandle mchepuko
 
Siku hizi hatutumii stout tena........tunatumia vi Amarok kwendea shambani........si ni ki pick up kile........


mimi nilijua wewe ni Desii wa Yaeda chini...kumbe ni wa chini ya mlima ??
 
Wenzetu mlizaliwa benki au kwenye taasisi ya fedha,unakuta anakuambia pesa kwake ndio kila kitu,unajiuliza amezaliwaje,analipia wapi pumzi yake,umemuoa anapenda malumbano,kitu kidogo anagombana hatari.

Unafanya anavyotaka lakini siku ukishindwa kidogo, yale yote yaliyopita yamefutika pia, kama game zisizo na save option.
Tatizo siyo mchaga ndugu, tatizo Ni wewe hukufanya upenbuzi, mbona Mimi Nina mwanamke wa kichaga Ni mtuluvu Sana, na


Unajuta kuoa, maana kuacha unawaza mwanao ataishije, wewe uliishi bila baba au mama unapenda mwanao afurahie kila uwepo wenu,hutaki apate shida,lakini kwa hili unajikuta unatamani kushindwa kuliko kushinda.
[/QUOTE

Tatizo siyo mchaga ndugu, tatizo Ni wewe hukufanya upenbuzi, mbona Mimi Nina mwanamke wa kichaga Ni mtuluvu Sana, na hapo kabla nlishakuwa nao wawili but tuli achana kwa mambo ya ujana Tu, mkuu mi nafikiri Ni wewe ulikosea kufanya chaguzi, hakuwa type yako, nakwambia hivyo kwani Mimi Kuna mmoja nlikuwa naye alikuwa Si msumbufu kwangu Na alinisikiliza, Na siyo kwa sababu nlikuwa nna uwezo wa Ku mprovidia, NO, she was within my control, but kwa sasa hiyo aliye naye analipata joto la jiwe, Na Mimi nilijua kuwa Kama angeenda kwa mtu mzembe basi hiyo mtu angeipatapata.

Cha msingi unapofanya chaguzi angalia pia control power uliyonayo, tatizo Ni kuwa wakati wa uchumba tunaogopa kufanya hiyo test tukihofia kumwagwa, but mwisho WA siku ndo malalamiko Kama hata.

Pole kaka.
 
Rich, hard working, intelligent, educated, beautiful, killers, cruel, fighters( ki-action zaidi hapa mwanaume ukiwa lele mama unapewa zauso)
 
yebo kumekucha mpaka january nadhani itakuwa balaa nijiandae kuvimba mashavu na moyo kuumia kwa misuto mfululizo msimu huu loh

Hebu nitafutie mpora dec hii nivute jikoni nimepamis maduka 7 bila kusahau kwa clara,hivi dada zangu papuchi zenu zina nini hawa vyasaka wakionja 2 wanaanza kunena kma watoa mapepo.yani kila cku dada zetu c wakaoe makwao au dada zao sura y pinda
 
Kuna mtu aliyekulazimisha uwafuate? huwezi si unaacha? yanini kulalamika mziki mbovu kumbe we ndio hujui kucheza?? Ukiona huwawezi we chapa lapa.... wanaowaweza watawachukua na wala hutasikia hiki kilio kama cha fisi mwenye njaa aliyekosa mzoga.

Dada zetu wana papuchi yenye asali n sura nzuri istoshe vyasaka dada zao wanasura kma pinda lazma wasome namba
 
LoL ... Pole! Ila ...cha uvunguni sharti uiname. Na sisi tunao wasio hao na mambo ni hayohayo!! Ni roho ya mtu Bro!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom