mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,038
- 2,740
Mbona nawewe umejumuisha sa.
Ni wengi mno wanaotafuta pesa mpaka na mi nmekuta nawajumuisha.Ila sio kwamba wengi wana izo tabia za ajabu ajabu kama anavosema mtoa mada.
Mbona nawewe umejumuisha sa.
mchaji kobe umenena
Wenzetu mlizaliwa benki au kwenye taasisi ya fedha,unakuta anakuambia pesa kwake ndio kila kitu,unajiuliza amezaliwaje,analipia wapi pumzi yake,umemuoa anapenda malumbano,kitu kidogo anagombana hatari.
Unafanya anavyotaka lakini siku ukishindwa kidogo, yale yote yaliyopita yamefutika pia, kama game zisizo na save option.
Unajuta kuoa, maana kuacha unawaza mwanao ataishije, wewe uliishi bila baba au mama unapenda mwanao afurahie kila uwepo wenu,hutaki apate shida,lakini kwa hili unajikuta unatamani kushindwa kuliko kushinda.
Hutajuta. ila ukizembea utapigwa tu.
Wajanja hawachuni. Analeta zengwe mpaka uwe tajiri na mzae watoto japo wa2, kinachofata ITV....
Mkuu kama utamuoa huyo mchagga kaa tayari kwa lolote. Si unaona watu wanavyolaumu humu?
Na hayo unayoyataja ndo yanaharibu ndoa kama hujuhi,mambo ya eti kwenu sijuhi mna ghorofa,meli sijuhi majumba ya kifahari havina uhusiano na unakokwenda kuolewa,ulikubali kwa hiari yako akuoe sasa siyo baadae unaanza kumletea dharau eti kisa kwenu pazuri ama ni matajiri kwani nani kakwambia yeye siku moja hawezi kuwa fulani ama wangapi walikuwa nazo lakini leo majarala? ukianza hivyo basi ujue unaenda kuiharibu ndoa yako mwenyewe kwa ujinga wako
Umeona sasa. Kumbe we mwanaume. Kwa mwanaume binti wa kichagga wala hamsumbui. tatizo ni hivi vivulana vimarioo. dada zangu acha wawapige tu. baaas
Mwambie ni wote wako hivyo ili akae mbali na dada zangu..... vinginevyo atapigwa tu. nami nasema apigwe tu. Nyambaf
Mario yeyote yule haijalishi
Narudia tena kwa mwanamme wa ukweli anayejitambua hizi kadhia hawezi kukutana navyo mpk ke anashindwa kukuomba msamaha.Pia kama kosa ni la kwako kwa nini yeye ndio aombe msamaha.mpaka uvurugiwe future hujitambua no halali yako.maisha no makubaliano sio ubabe
We ni ndezi kama mandez wengine...kuoa mchaga ni kuoa elnino...hakuna uanaume kwene ushirikina...#napenda weupe ila wachaga hapana
We ni ndezi kama mandez wengine...kuoa mchaga ni kuoa elnino...hakuna uanaume kwene ushirikina...#napenda weupe ila wachaga hapana
Unapumuliwa kisogoni we we,unaanzaje kutapika kwenye nyuzi za wenzio
Huna hoja za kuchangia,soma piga p***bu zako kimya,inaelekea viroba vimekuchusha hovyo.