Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Nadhani anatafuta mbinu ya kufikisha ujumbe ili kujenga familia yake bila kuleta ufa. Mahusiano miaka yetu Yana shida Sana Khantwe, watu wapo pamoja kwa Nia tofauti. Huyu anataka umzalie awe na watoto na aitwe baba, mwingine anataka aolewe ili aweke heshima kwa wenzake, huku akitafuta sehemu nyingine ya kuchuma pesa...! Ni tabu tupu miaka hii..!
Hiyo ndo shida kubwa..umesahau mwingine anataka aoshe tu rungu mahari akatoe sehemu nyingine. Ila nakwambia ni raha sana mkikutana watu wenye nia moja
Last edited by a moderator: