Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,713
Umeona eh?
Mkuu watuachie dada zetu kama wao kazi ni umario huku mjini..
Umeona eh?
Tz kuna makabila zaidi ya 124,kwani lazima muwaowe wadada wa wachaga?Waacheni na tabia zao,Mlipokutana hukuja kutoa taarifa hapa iwije yamekushinda mbio JF?
Tafuta pesa pesa kijana umeowa mtambo wa matumizi na malengo
Mkuu watuachie dada zetu kama wao kazi ni umario huku mjini..
ha ha ha ! penye ukweli badilikeni basi msiwe kama wazee wetu wa CCM hata sehemu ya ukweli wanaumauma maneno hatma yake ina madhari . jamii inapokutazama ikakwambia upo hivi kubali coz ndo wanakutizameni. kwa nn msemwe sana? fikiria usikurupuke ! alafu kubali mapungufu tunawambieni hivi coz ni WaTZ wenzetu tafuta pesa kwa akili si malumbano mwenzio akikosa tu ugomvi.
na hata nyie kwa nyie kabila lenu waume zenu wanajuta kuwaoa je huoni mmepotea sana. so penye ukweli tuseme ukweli ili tubadilike.
Mi nawapenda sana dada zangu kwa jinsi wanavyowanyoosha hawa vyasaka. Ukiona dume zima badala ya kuwa kichwa cha nyumba lenyewe linalialia kama jibwa koko, ujue dada zetu wako juu sana.....
Tatizo walishazoea kuwaona baba zao na mama zao wakicheza bao na kupiga umbeya asubuhi mpaka asubuhi. Akategemea akimwoa mchagga ataendelea kufanya huo upumbavu wa wazazi wake then amchekee tu..
Wewe tena sweetie? Ukiona kimya ujue umenikuna ati. kama vipi mbona ningeshakufungulia thread siku nyingi?
Ebwana hawa wanawake wakichaga wengi wao ni shida no descipline,they think money is everything hasa umkute yule aliye hamia mjini utajutanae afadhali born in town mazingira yanawasaidia kidogo ,,,utasikia oooh nimetumwa kutafuta hela kuna mtu anatafuta mawe hapa mjini? acheni hzo pesa zenyewe unataka mwanaume akupe capital soo huo ni utafutaji gani basi be totally independent na nikitaka penz ni charge kama wale wengine yaishe sio kelele zi sizo na mwisho!... ila dawa yao ni ndogo sana nita ku pm mkuu!
ha ha ha jamani duhEbwana hawa wanawake wakichaga wengi wao ni shida no descipline,they think money is everything hasa umkute yule aliye hamia mjini utajutanae afadhali born in town mazingira yanawasaidia kidogo ,,,utasikia oooh nimetumwa kutafuta hela kuna mtu anatafuta mawe hapa mjini? acheni hzo pesa zenyewe unataka mwanaume akupe capital soo huo ni utafutaji gani basi be totally independent na nikitaka penz ni charge kama wale wengine yaishe sio kelele zi sizo na mwisho!... ila dawa yao ni ndogo sana nita ku pm mkuu!
Sasa kama mtu aliingia na mapozi ya kumnunulia gari mtoto wa watu na kujenga jumba la kifahari unategemea nini. Acha wavune wanachokipanda. ukimuahidi dada yangu kitu afu usitimize lazima uje umfungulie thread hala malabuku zako. Nawafagilia sana dada zangu. big up sana dada zangu.... vuteni sharubu zao mpaka wakome shenzy zao na nusu.
Kweli kwa anayekuja na swaga ya ahadi isiyotimizika tupa kule mpaka p**by zimsinyae.
Ebwana hawa wanawake wakichaga wengi wao ni shida no descipline,they think money is everything hasa umkute yule aliye hamia mjini utajutanae afadhali born in town mazingira yanawasaidia kidogo ,,,utasikia oooh nimetumwa kutafuta hela kuna mtu anatafuta mawe hapa mjini? acheni hzo pesa zenyewe unataka mwanaume akupe capital soo huo ni utafutaji gani basi be totally independent na nikitaka penz ni charge kama wale wengine yaishe sio kelele zi sizo na mwisho!... ila dawa yao ni ndogo sana nita ku pm mkuu!
Tafuta hela acha njaa,mbona wazawa was hapa mjini ndio njaa mwanzo mwisho
Hakuna kuumia hata,yebo kumekucha mpaka january nadhani itakuwa balaa nijiandae kuvimba mashavu na moyo kuumia kwa misuto mfululizo msimu huu loh