Wanawake wa kichaga mkoje?

Wanawake wa kichaga mkoje?

Tz kuna makabila zaidi ya 124,kwani lazima muwaowe wadada wa wachaga?Waacheni na tabia zao,Mlipokutana hukuja kutoa taarifa hapa iwije yamekushinda mbio JF?

Tafuta pesa pesa kijana umeowa mtambo wa matumizi na malengo

Hahhahahahah
 
ha ha ha ! penye ukweli badilikeni basi msiwe kama wazee wetu wa CCM hata sehemu ya ukweli wanaumauma maneno hatma yake ina madhari . jamii inapokutazama ikakwambia upo hivi kubali coz ndo wanakutizameni. kwa nn msemwe sana? fikiria usikurupuke ! alafu kubali mapungufu tunawambieni hivi coz ni WaTZ wenzetu tafuta pesa kwa akili si malumbano mwenzio akikosa tu ugomvi.
na hata nyie kwa nyie kabila lenu waume zenu wanajuta kuwaoa je huoni mmepotea sana. so penye ukweli tuseme ukweli ili tubadilike.

Aaaah wapi........hakuna kitu.........
 
Mi nawapenda sana dada zangu kwa jinsi wanavyowanyoosha hawa vyasaka. Ukiona dume zima badala ya kuwa kichwa cha nyumba lenyewe linalialia kama jibwa koko, ujue dada zetu wako juu sana.....

Tatizo walishazoea kuwaona baba zao na mama zao wakicheza bao na kupiga umbeya asubuhi mpaka asubuhi. Akategemea akimwoa mchagga ataendelea kufanya huo upumbavu wa wazazi wake then amchekee tu..
 
Tatizo walishazoea kuwaona baba zao na mama zao wakicheza bao na kupiga umbeya asubuhi mpaka asubuhi. Akategemea akimwoa mchagga ataendelea kufanya huo upumbavu wa wazazi wake then amchekee tu..

Hahahahahaaaaa. Thread Closed.

Makofi kwa wadada wa kichaga tafazali.
 
Yaani hapa nimekushangaa, eti mkuu unapenda meno ya kuoza na utapeli wa mapenzi? Pole lakini.
 
Umeona eh... yani unakuta jitu linawakashifu dada zangu wakati ndo linaelekea kwa paroko kuandikisha ndoa na mtoto wa kirombo....

Hahahahaa I hope Eli79 ujumbe umemfikia
 
Last edited by a moderator:
Kwa upande wangu mi nawakubali Sana wachaga wana mapenzi ya kweli angalau si wajuzi Sana wa mahaba ila wanafundishika Mimi ni mtoto wa kimachame mzuri Kama msomali na Nina mtoto nae mmoja
 
Ebwana hawa wanawake wakichaga wengi wao ni shida no descipline,they think money is everything hasa umkute yule aliye hamia mjini utajutanae afadhali born in town mazingira yanawasaidia kidogo ,,,utasikia oooh nimetumwa kutafuta hela kuna mtu anatafuta mawe hapa mjini? acheni hzo pesa zenyewe unataka mwanaume akupe capital soo huo ni utafutaji gani basi be totally independent na nikitaka penz ni charge kama wale wengine yaishe sio kelele zi sizo na mwisho!... ila dawa yao ni ndogo sana nita ku pm mkuu!
 
Ebwana hawa wanawake wakichaga wengi wao ni shida no descipline,they think money is everything hasa umkute yule aliye hamia mjini utajutanae afadhali born in town mazingira yanawasaidia kidogo ,,,utasikia oooh nimetumwa kutafuta hela kuna mtu anatafuta mawe hapa mjini? acheni hzo pesa zenyewe unataka mwanaume akupe capital soo huo ni utafutaji gani basi be totally independent na nikitaka penz ni charge kama wale wengine yaishe sio kelele zi sizo na mwisho!... ila dawa yao ni ndogo sana nita ku pm mkuu!

Utoto unakusumbua. Ukikua utaacha.

Hiyo dawa kwanini umwambie PM kama si woga wa kitoto?
 
yebo kumekucha mpaka january nadhani itakuwa balaa nijiandae kuvimba mashavu na moyo kuumia kwa misuto mfululizo msimu huu loh
 
  • Thanks
Reactions: B12
Ebwana hawa wanawake wakichaga wengi wao ni shida no descipline,they think money is everything hasa umkute yule aliye hamia mjini utajutanae afadhali born in town mazingira yanawasaidia kidogo ,,,utasikia oooh nimetumwa kutafuta hela kuna mtu anatafuta mawe hapa mjini? acheni hzo pesa zenyewe unataka mwanaume akupe capital soo huo ni utafutaji gani basi be totally independent na nikitaka penz ni charge kama wale wengine yaishe sio kelele zi sizo na mwisho!... ila dawa yao ni ndogo sana nita ku pm mkuu!
ha ha ha jamani duh
 
Sasa kama mtu aliingia na mapozi ya kumnunulia gari mtoto wa watu na kujenga jumba la kifahari unategemea nini. Acha wavune wanachokipanda. ukimuahidi dada yangu kitu afu usitimize lazima uje umfungulie thread hala malabuku zako. Nawafagilia sana dada zangu. big up sana dada zangu.... vuteni sharubu zao mpaka wakome shenzy zao na nusu.

Kweli kwa anayekuja na swaga ya ahadi isiyotimizika tupa kule mpaka p**by zimsinyae.
 
Ebwana hawa wanawake wakichaga wengi wao ni shida no descipline,they think money is everything hasa umkute yule aliye hamia mjini utajutanae afadhali born in town mazingira yanawasaidia kidogo ,,,utasikia oooh nimetumwa kutafuta hela kuna mtu anatafuta mawe hapa mjini? acheni hzo pesa zenyewe unataka mwanaume akupe capital soo huo ni utafutaji gani basi be totally independent na nikitaka penz ni charge kama wale wengine yaishe sio kelele zi sizo na mwisho!... ila dawa yao ni ndogo sana nita ku pm mkuu!

Tafuta hela acha njaa,mbona wazawa was hapa mjini ndio njaa mwanzo mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom