Wanawake wa kichaga mkoje?

Wanawake wa kichaga mkoje?

mtoa mada utakua mtu wa Pwani wewe.,acha tabia za kulalamika.. achia wavulana. kama shida ni hela si utafute sasa??? aaghhhhhr
 
ha ha ha ! penye ukweli badilikeni basi msiwe kama wazee wetu wa CCM hata sehemu ya ukweli wanaumauma maneno hatma yake ina madhari . jamii inapokutazama ikakwambia upo hivi kubali coz ndo wanakutizameni. kwa nn msemwe sana? fikiria usikurupuke ! alafu kubali mapungufu tunawambieni hivi coz ni WaTZ wenzetu tafuta pesa kwa akili si malumbano mwenzio akikosa tu ugomvi.
na hata nyie kwa nyie kabila lenu waume zenu wanajuta kuwaoa je huoni mmepotea sana. so penye ukweli tuseme ukweli ili tubadilike.

Hahaha CCM mmepiga kelele bado wanaendelea kufanya.huku huko kwa wachaga nako mtabaki kupiga miyao na key board tu.
 
Mti wenye matunda ndio hutupiwa mawe.

Jaribu kuleta hoja kiongozi. Kama watu wanaona tatizo sehemu ni lazima waseme. Sidhani wachafga ndo mti wenye matunda, binafsi siwasemi coz sijwahi ona tofauti yoyote, mine is so sweet. Lakini kama mnasemwa jaribuni kujichunguza..
 
kuna mmoja alikua dem wangu nilijichanganya nikamtumia sms kuwa nimemisss lahaula nikaambiwa kama kweli umenimiss ninunulie kuna pochi inauzwa hapa 80,000..doooooh ilibidi niseme sms ilikuwa siyo yako
 
Kuna mtu anawaambia mkaoe uchagani. Kwani huko kwenye makabila yenu hamna wanawake.
 
Lisemwalo lipo! Pamoja na kupenda hela kupindukia na ubishoo ni mwingi pia. Tamaa ni nzuri kwa sababu inakusukuma kutatafuta maendeleo na huwezi kuendelea kwa wiki moja yataka kujipanga na kunia mamoja! Lakini wenzetu wakiamka tu nataka benz, tujenge nyumba kama ya fulani twende Kempisky etc Sasa mnapooana ni lazima muwe mnajijua ngazi yenu ni ipi na kama ni kupanda huwa inakuwa taratibu. Vinginevyo ni kuiba au kunywa sumu au talaka kila kukicha.
 
Jaribu kuleta hoja kiongozi. Kama watu wanaona tatizo sehemu ni lazima waseme. Sidhani wachafga ndo mti wenye matunda, binafsi siwasemi coz sijwahi ona tofauti yoyote, mine is so sweet. Lakini kama mnasemwa jaribuni kujichunguza..

Mi nahisi wenye matatizo ni waoaji.
 
Jaribu kuleta hoja kiongozi. Kama watu wanaona tatizo sehemu ni lazima waseme. Sidhani wachafga ndo mti wenye matunda, binafsi siwasemi coz sijwahi ona tofauti yoyote, mine is so sweet. Lakini kama mnasemwa jaribuni kujichunguza..

Nirudiahie dada angu kama humpi mahela bhana....
 
Hivi mahari kwa mbebizi wa Kichaga bei gani?. Nataka nimuibukie mmoja hivi, Toyota Stout tayari nishanunua!....

Siku hizi hatutumii stout tena........tunatumia vi Amarok kwendea shambani........si ni ki pick up kile........
 
wapuuze hao,kama pesa ni kila kitu kwao waolewe nazo,alafu hawajirekebishi na tabia zao hizo,wanadanganyana sana
 
Ndio maana hamridhiki.

Hahahahaha@Eli79 ungali hai hutakiwi kuridhika.Nakumbuka kuna siku nlikua mjini na mama akaingia duka moja kuna kanga aliziona akasema huwa anazipenda,yule muuzaji akamwambia unazipendea nini ?( eti tu kisa zimeandikwa naridhika na hali yangu)alimdiscourage asizinunue.
 
Siku hizi wanaume ni wachache sana,wengi wetu vivulana tu.kulalama tu hovyo..

Tofautisha zamani na sasa kimiundombinu. Je, iyo zamani unayoisema ulikua na umri wa kuletewa changamoto za familia? Think twice.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom