Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,551
Nyie waoneni tu weupe sijuhi wanakuchekea na wanapenda sana kuonekana wana dini sana lakini usidhubutu kuomba kuoa,wanatamani pale ndani yeye ndo awe kiranja na kama ikishindikana atataka mpaka aiharibu future yako kwahiyo kuweni makini na hawa watu ama sivyo msije jutia ndoa zenu maisha yote ..hawajuhi neno nisamehe hilo kwao halipo,anakosa na bado wanaanzisha fujo any time kwakweli they are so different