Wanawake wa kichaga mkoje?

Wanawake wa kichaga mkoje?

Wenzetu mlizaliwa benki au kwenye taasisi ya fedha,unakuta anakuambia pesa kwake ndio kila kitu,unajiuliza amezaliwaje,analipia wapi pumzi yake,,...umemuoa anapenda malumbano,kitu kidogo anagombana hatari,yerewiiiii!!!

Unafanya anavyotaka lakini siku ukishindwa kidogo,yale yote yaliyopita yamefutika pia,kama game zisizo na save option...

Unajuta kuoa,maana kuacha unawaza mwanao ataishije,wewe uliishi bila baba au mama unapenda mwanao afurahie kila uwepo wenu,hutaki apate shida,lakin kwa hili unajikuta unatamani kushindwa kuliko kushinda

Tafuta hela wewe..........
 
Kama kuna sehemu mnakosea jirekebisheni, kwa nini kila mtu anawananga nyie tu, kwa nini nyie tu na sio kabila lingine...kuna kitu hakiko sawa labda..!

Waache kutuoa.......wanatung'ang'ania wa nini........waende kwenye hao makabila wengine........
Wachagga are there to STAY........miaka 800.........
 
Waache kutuoa.......wanatung'ang'ania wa nini........waende kwenye hao makabila wengine........
Wachagga are there to STAY........miaka 800.........

Hahahahhah....hebu niibie,mabibi zenu huwa wanawaambia nini mkirudi uchagani ambacho kinawapa kiburi,kidogo tu!
 
Waache kutuoa.......wanatung'ang'ania wa nini........waende kwenye hao makabila wengine........
Wachagga are there to STAY........miaka 800.........

Preta tutawawowa hadi mkome, watz hawana ukabila kwa hiyo mtu akifall kwako wala haangalii origin yako. Ninachoona labda baadhi/wengi wenu bila pesa hamna uhai...! Jaribuni kuangalia maisha kwa mtizamo mwingine, mtaona Yana maana zaidi ya kuweka pesa mbele ya uhai.
 
Last edited by a moderator:
hawa watu acheni nilikuwa na demu wa kichaga siku ya tatu kufahamiana na kumtongoza akataka simu nikamnunulia ipad ..kila baada ya siku tatu anataka hela nikawa nampa tena kuanzia kilo..akitaka nampa ila uzuri wake mzigo alikuwa anatoa vzur na cku ukimpa hela utayaona mapenzi yake jamani alikuwa anapenda hela wacha alipokuja kuja kuniboa ni kutaka mtaji wa biashara halafu hataki mimi niwepo kwenye hio biashara ...hapo ndo ulikuwa mwisho wetu...nikajua huyu hana nia njema na mimi na sio mke wa kuoa kabisa nikapiga chini...ila alikuwa mzuri mtoto wa kirombo lakini katika kuacha sikuliona hilooo...
 
Mtoa mada pole sana...lakini hayo uliyoandika huku sidhani kama yatakusaidia kunusuru ndoa yako
 
Hawa ndio wachaga bana
 

Attachments

  • 1415943113751.jpg
    1415943113751.jpg
    32.8 KB · Views: 949
"sitaki demu wa kitanga, jioni moja khanga, tayari amejipanga, kwa mabusu mangapi Demu ni naemtaka mankah wa kichaga jioni anaulizaga umengiza sh. ngapi". Hiyo ni nature kama wale wa kibosho ni sheedah
 
Sasa huyo mkewe yupo huku?? Dawa ni kuzungumza nae yeye mwenyewe. Na kama yupo huku ameamua kumfikishia ujumbe kwa staili hiyo bas ni hatari

Nadhani anatafuta mbinu ya kufikisha ujumbe ili kujenga familia yake bila kuleta ufa. Mahusiano miaka yetu Yana shida Sana Khantwe, watu wapo pamoja kwa Nia tofauti. Huyu anataka umzalie awe na watoto na aitwe baba, mwingine anataka aolewe ili aweke heshima kwa wenzake, huku akitafuta sehemu nyingine ya kuchuma pesa...! Ni tabu tupu miaka hii..!
 
Last edited by a moderator:
.pamoja na kuwa wanapenda PESA ila hawa wadada watamu hawaniishagi hamu, ila kuwaoa mmmmh labda itokee TAASISI YA FEDHA iwe inanilipa kwani kuishi nao kama wake yataka moyo wa chuma, huu wa nyama lazima watautoboa tu, manake.......
 
Oa msukuma, mnyamwezi, mgogo, mmasai, mkurya etc. hutapata shida ingawa kwa sasa ni tabia binafsi ya mtu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom