Jamani Mchaga wangu mbona ni safi sana tuu! Siwaelewi nyie kinachowasibu. Hebu muulize mamamkwe vizuri alafu unasema mweusi. Unajua wanubi wakisii ni wengi sana zamani kule uchagani walikuwa wanakata mbao. Ndio walimaliza miti ya mbao mlima ule! Kaka huyo ni mnubi!
Mimi na rafiki zangu tumeoa uchagani na wote tunaraha zetu. Wanajituna wanatunza watoto wanajua maarifa ya maisha na pia wanatutunza kisasa! Sio mimi tuu hata mama mkwe wake anafarijika. Mama alinikataza sana lakini sasa huyu mchaga wangu ndiye anamlea kuliko wengine na amejifunza anapenda nini na hapo humgusa sana na mimi hunigusa sana tuu.
Jamani wale wenye uzoefu wangu hebu ongeeni maana hapa huu uzi unanishangaza sana!! Au kuna ajenda nyingine!
I have learned my lesson,but cha ajabu nina bahati ya kuwa na machick wa kichaga i wonder why,labda mnisaidie niende upande upi wa Moshi?
hahaha pole mkuu kwa yaliyokufika but kumbuka kila mtu dunia hii anapenda pesaaa hata ungeoa mzungu sijui mchina vitu kama hivi ungekutana navyo tuuu
msiwalaumu wao tuuu hata makabila mengine wapo wanaolenda pesa kuliko hata wachaga
Ubabe uliopitiliza na uthamini wa pesa kuliko utu.
Kwan umelazimishwa kuoa
Nani kakuambia naoa au nina mpango wa kuoa huko?
Acha kutokwa na povu chakubanga mkubwa ww nan akupe mke kule lile kabila tunalijua sisi coz wale ni rafki zetu kojoa ulale
pole kuongozi naona yamekukutaWenzetu mlizaliwa benki au kwenye taasisi ya fedha,unakuta anakuambia pesa kwake ndio kila kitu,unajiuliza amezaliwaje,analipia wapi pumzi yake,umemuoa anapenda malumbano,kitu kidogo anagombana hatari.
Unafanya anavyotaka lakini siku ukishindwa kidogo, yale yote yaliyopita yamefutika pia, kama game zisizo na save option.
Unajuta kuoa, maana kuacha unawaza mwanao ataishije, wewe uliishi bila baba au mama unapenda mwanao afurahie kila uwepo wenu,hutaki apate shida,lakini kwa hili unajikuta unatamani kushindwa kuliko kushinda.
Ukipata mchanganyiko wa mmachame na mmeru utalia kilio na lusaga meno full money manic