Wanawake wa kichaga mkoje?

Wanawake wa kichaga mkoje?

Ifikapo saa kumi jioni leo nataka list ya vyasaka ulioshawahi kuwashughulikia. adhawaiz mi si kaka yako.

Baada ya Mungu inafuata hela..... Mapenzi hata nyau wanafanya.

Mungu Onyesha Sehemu Hela Ilipo ndo mpango mzima.

umenikuna vizuri sana
 
kiufupi wachaga mpango pesa,hata wanaume wa kichaga ni wabahiri,na unatakiwa ukumbuke kuwa mbinu ya utajiri ni ubahiri!
 
Hivi mahari kwa mbebizi wa Kichaga bei gani?. Nataka nimuibukie mmoja hivi, Toyota Stout tayari nishanunua!....

bado ng'ombe wa maziwa,kapati ya mbeo na kioo cha picha...hapo utapokelewa kama mfalme.
 
Jaribu kuleta hoja kiongozi. Kama watu wanaona tatizo sehemu ni lazima waseme. Sidhani wachafga ndo mti wenye matunda, binafsi siwasemi coz sijwahi ona tofauti yoyote, mine is so sweet. Lakini kama mnasemwa jaribuni kujichunguza..

kumbe na ww una mchaga kiongozi? sweet like I? aje tuunde chama chetu cha masweet.
 
Hebu toa uongo hapa.. Mwanamke wa kichagga akiolewa haruhisiwi kulala kwa baba yake wala kaka zake.. Unless ni msiba wa mtu wa karibu sana na huna sehemu nyingine ya kulala.. Sasa umpeleke chasaka kijijini utamlaza kwa nani?
Tatizo lingne ni uchafu unakuta mtoto mzur lakin???? hata upat ham ya tendo mpaka sku ya ckuku wale marangu mwika kibosho.
 
Ha ha ha ha hapo mnajichanganya tu.Mti wenye matunda ndio upigwa mawe.Wanawake wa kichaga sio watu wa kwenda ngomani.Ndio wanawake wajanja katika kulea famila na utafutaji.Mili zetu haziwakandamizi wanawake kama yalivyo makabila mengine.Ndilo kabila la kwanza kwa wanawake wengi kwenda shule.Sio magoli keeper kama yalivyo makabila mengine mengi hapa nchini.Kutokana na elimu waliyo nayo wanawake hawa pamoja na kujiamini, imepelikea kusambaa karibu Tanzania nzima wakajichanganya na watu wengine ndo maana wanaolewa sana na makabila Mengine mengi na kuonekana kwamba wana kasoro hizo ila ukweli ndo huo kwamba pia hawapendi wanaume Nyoro nyoro.BIG UP CHAGGA WOMEN.
 
Wewe bhana wewe.... we inaelekea dada zangu bado hawajakunyoosha vizuri. Subiri zamu yako ifike.

Huyu Joel360 anatakiwa apate wa kumhenyesha mpaka awe tajiri then kibla, chap!

Tena ngoja kuna mbinu nzuri tu na haiachi ushahidi. Sindano ya maji moto!
 
Last edited by a moderator:
Wakati wenzako hawalali wakiota kupata wanawake wa kichaga wasafirie vismati vyao kupata utajiri wewe unalalama huku,katafufute wa kabila lako mnawaza mapenzi muda wote wakati wenzako wanazichanga kupeleka hesabu nyumbani December
 
Ngoja nichore picha kubwa leo kuhusu ndoa, ni wapi tunakosea mpaka kila siku tunapata kusikia au kuona haya matatizo kila siku kwenye ndoa.

Walio wengi wetu tunasahau ile siku ya kwanza kabisa unaangukia kumpenda msichana kabla ya kuanza uhusiano naye na mwishowe mnakuwa mke na mume. Tulio wengi kikubwa tunaanzaga kuvutiwa ni muonekano wa nje wa mwanamke au mwanamme ndiyo inakuwa chanzo cha kuangukiana kimapenzi. Pale pale anaanza kufikiria watoto wake watazaliwa na muonekano upi?, ukitoka naye kwenye kadamnasi watu watamchukuliaje?, vipimo vya elimu zenu na vitu vingine vingi kama hivyo.

Lakini tukisha gubikwa na yale mapenzi ya maono ya nje huwa tunajikana nafsi zetu na kusahau- kutambua kuwa sisi binafsi tuna ndoto zetu,- nafasi zetu za uwepo wetu hapa duniani, ushawishi wa vitu fulani, uwezo wetu wa kujituma na kikubwa tabia pia. Sasa mkishafunga pingu za maisha kila mtu nafsi yake inarudi kwenye uhalisia na ndipo tunapoanza kutambua kwa mshangao, Amah! Kumbe ndoto zetu tofauti, huyu mwenzangu mvivu na tegemezi sana huyu, sijui tabia yake mbaya sana huyu na mambo mengiii sababu kwenye uchumba mlijikana nafsi zenu wenyewe na kushindwa kulinganisha ndoto zenu, maono yenu, tabia zenu (hususani kwa wanawake wanaficha sana) kama zinashabihiana.

Ndoa ni maisha na kama ukishindwa kupata mpenzi mnayeshabihiana kitabia, misukumo ya kujishughulisha, maono, ndoto, ushawishi na ukampenda tu sababu anamuonekano bomba (hata awe mzuri kama malaika) mpasuko ndani ya ndoa hauepukiki. Mkishatulia tu mkianza kuendeleza maisha yenu misuguano inaanza ndani ya ndoa.

Cha mwisho usitake kuoa tu sababu mke au mume akuletee ukamilifu kwenye maisha yako utaangukia puwa. Pia kama binafsi hauko mkamilifu mpasuko ndani ya ndoa hauepukiki. Hivyo msifate sura na muonekano pekee kama unataka kuishi maisha ya furaha kwenye ndoa nasisitiza lazima tabia, ndoto, maono, na ushawishi vishabihiane- si na kufanana kabisa kila kitu.
 
Wana roho za Kiyahudi....hawako romantic hata sex kwao ni minor sana......wanaolewa sana siku izi kati ya harusi kumi 7 mchaga anaolewa..coz wanalazimisha sana ndoa na family status zao ndo maana watu wanashoboka sana.
Mie nmezaa na mmoja na pia I have chaga girlfriend now...so nmewasoma kinamna flani.
 
Mutuwache tupumuwe bhana..khaa..Kila siku hapa JF kuna topic za kukashfu wanawake wa kichagga, mbona hamuachi kuwaoa? Kumbukeni kuwa marioo hawatakiwi uchaggani, kama wewe ni wa type hiyo lala mbele kaoe kwenu. Halafu kila mtu anapenda pesa hapa duniani, sema wachagga wanazitafuta sana na wanazitumia sana.
 
Wewe bhana wewe.... we inaelekea dada zangu bado hawajakunyoosha vizuri. Subiri zamu yako ifike.

mi wangu mchaga lakini ni kama siyo mchaga hana mambo ya ajabu, nikipata talwa nikikosa nitatafuta ili nipate ananivumilia.
 
kwa wanawake wa kichagga wa upande wa machame;
baada ya vita kuu ya kabila hilo miaka ya 1700 (mwishoni)
ilitokea wanaume wooote kuuawa na wa kibosho.
Kwa hiyo wanawake hao wakageuka(kubeba majukumu ya wanaume) vichwa katika kuendesha shughuli za kifamilia.
Hali hiyo iliendelea kurithishwa kutoka kizazi hadi kizazi.
Ubabe huu wa kuwa ma jike dume uliwainua kiuchumi na wachagga wa sehem nyingine wakaanza kuiga tabia hiyo.
Hivyo basi unapoowa watu hao jua kwamba wana taka wawe vichwa otherwise akukute kiuchumi uko vyema.
Pamoja na hayo yooote they can kill anytime.
Believe me.

Sio kweli wanaume wote hawakuuawa, historia hii naijua vyema,alinisimulia babu yangu mangi sina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom