Wanawake wa kichaga mkoje?

Wanawake wa kichaga mkoje?

ni nzuri sana lkn kuna ugumu wake hata wanandoa hufunga kwa kuridhishana au kwa sababu ya kitu fulani tu lakini kila mtu anamfikiria mtu mwingine akilini mwake je tutafika

I realy hate that....laiti Mungu angetupa uwezo wa kujua anachowaza mwingine
 
Wakijipendekeza kuleni vichwa, December leteni mahera nyumbani tufanye yetu. Sawasawa?

Watakomaje...........kila siku wachagga wachagga......lakini mziki wetu wanaukubali.......kuuacha hawataki........kazi kulialia tu......watafute hela mazafantaaazzz le mburulazzzzzz..........
 
ukiwala tigo wanatulia tu hiyo kwa ss wazaramo tunasema kata kiburi but if you want, try for your own risky
 
wewe ndio chasaka tafuta hela tu hilo ndio ufumbuzi wa tatizo lako
 
wachaga wameshika hii nchi chunguza katika harusi 10 saba kati ya hizo wanaolewa ni wachaga ...kuna rafiki zangu kama 6 hivi wamepigana vikumbo kwenda kutoa mahari kilimamjaro huyu rombo huyu kibosho mwengine kuleee.....wanawake wa kichaga nyie acheni akipata mwanaume ambae anaona kwake ni sahihi hamuachii hata amfumanie mara 10 anae tuu......halafu ni wazuri ukimkuta mwenye shepu na zile rangi zao ni sheeda tuuuupuuuuuuuuuu
 
Yaani unaweza kusema tabia za wachaga ndio mbaya tz nzima! Mbona Kila siku watu wanaachana huku mtaani na siyo wachagga? Acheni chuki binafsi jamani! Wachaga waliwakosea nn!! Yaan mtu akiomba hela tuu anaanza kusema huyu mchaga anapenda pesa Nani apendi pesa wanaojiuza Kila siku ni wachaga? Nyie waswahili kama dada zetu mmewashindwa oeni waswahili wenzenu acheni kulalamika unaombwa 20000 unakuja kulalamika huku!
 
Yaani unaweza kusema tabia za wachaga ndio mbaya tz nzima! Mbona Kila siku watu wanaachana huku mtaani na siyo wachagga? Acheni chuki binafsi jamani! Wachaga waliwakosea nn!! Yaan mtu akiomba hela tuu anaanza kusema huyu mchaga anapenda pesa Nani apendi pesa wanaojiuza Kila siku ni wachaga? Nyie waswahili kama dada zetu mmewashindwa oeni waswahili wenzenu acheni kulalamika unaombwa 20000 unakuja kulalamika huku!

:thumbup::thumbup::thumbup:
 
Watakomaje...........kila siku wachagga wachagga......lakini mziki wetu wanaukubali.......kuuacha hawataki........kazi kulialia tu......watafute hela mazafantaaazzz le mburulazzzzzz..........
Hivi mahari kwa mbebizi wa Kichaga bei gani?. Nataka nimuibukie mmoja hivi, Toyota Stout tayari nishanunua!....
 
Waache kutuoa.......wanatung'ang'ania wa nini........waende kwenye hao makabila wengine........
Wachagga are there to STAY........miaka 800.........

ha ha ha ! penye ukweli badilikeni basi msiwe kama wazee wetu wa CCM hata sehemu ya ukweli wanaumauma maneno hatma yake ina madhari . jamii inapokutazama ikakwambia upo hivi kubali coz ndo wanakutizameni. kwa nn msemwe sana? fikiria usikurupuke ! alafu kubali mapungufu tunawambieni hivi coz ni WaTZ wenzetu tafuta pesa kwa akili si malumbano mwenzio akikosa tu ugomvi.
na hata nyie kwa nyie kabila lenu waume zenu wanajuta kuwaoa je huoni mmepotea sana. so penye ukweli tuseme ukweli ili tubadilike.
 
Nyie sio wa kwanza kutafuta pesa, sio kabila la kwanza kuwa na pesa, hio haina mantiki kabisa kiongozi. Labda useme 'mna tamaa ya pesa' you wanna reap where you don't saw..!

Hapo kwenye tamaa umenena mkuu wachaga wana tamaa sana na pesa, wanaotafuta pesa ni wakinga, ukiwa na demu mchaga hakuna story nyingne zaid ya pesa, bora angekua anazungumzia pesa upande wa maendeleo yenu wote lakin utakuta anawaza kwao tu mara ooh twende tukajenge mosh mara oh mwez wa kumi na mbili twende kwetu etc.
 
Hivi mahari kwa mbebizi wa Kichaga bei gani?. Nataka nimuibukie mmoja hivi, Toyota Stout tayari nishanunua!....

Madebe ya pombe yasopungua 25, blanket la babu, vitenge vya mashangazi , mbuzi wa sale, panga la kaka, mguu wa ng'ombe.Vingine nimesaau.
 
hawa watu acheni nilikuwa na demu wa kichaga siku ya tatu kufahamiana na kumtongoza akataka simu nikamnunulia ipad ..kila baada ya siku tatu anataka hela nikawa nampa tena kuanzia kilo..akitaka nampa ila uzuri wake mzigo alikuwa anatoa vzur na cku ukimpa hela utayaona mapenzi yake jamani alikuwa anapenda hela wacha alipokuja kuja kuniboa ni kutaka mtaji wa biashara halafu hataki mimi niwepo kwenye hio biashara ...hapo ndo ulikuwa mwisho wetu...nikajua huyu hana nia njema na mimi na sio mke wa kuoa kabisa nikapiga chini...ila alikuwa mzuri mtoto wa kirombo lakini katika kuacha sikuliona hilooo...

well said!
 
Sasa Mtoa mada kama mkeo anapenda pesa utakuwa ujazitumia izo pesa kimaendeleo aakaona ndo maana anakukamua afanye yeye labda anakuona unauwezo Wa kufika sehemu Fulani wewe ni mbishi ueleweki ndo maana anakukamua afanye yake jiangalie mapungufu yako kimaendeleo labda unapata ela uzifanyii cha maana atakupasua kichwa mpaka uendane nae dada zangu wanawaza ela 2 na maendeleo ukitaka mapenzi kaoe tanga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom