Wanawake wa kichaga mkoje?

Wanawake wa kichaga mkoje?

kwa wanawake wa kichagga wa upande wa machame;
baada ya vita kuu ya kabila hilo miaka ya 1700 (mwishoni)
ilitokea wanaume wooote kuuawa na wa kibosho.
Kwa hiyo wanawake hao wakageuka(kubeba majukumu ya wanaume) vichwa katika kuendesha shughuli za kifamilia.
Hali hiyo iliendelea kurithishwa kutoka kizazi hadi kizazi.
Ubabe huu wa kuwa ma jike dume uliwainua kiuchumi na wachagga wa sehem nyingine wakaanza kuiga tabia hiyo.
Hivyo basi unapoowa watu hao jua kwamba wana taka wawe vichwa otherwise akukute kiuchumi uko vyema.
Pamoja na hayo yooote they can kill anytime.
Believe me.

Kama ukweli ndio huu, kwanini watu wanawashobokea. Si wakaoe mbuzi kama wamekosa makabila mengine ya kuoa?
 
...

Nami nasema wawapige tu. Tena sasa waanze kuwatieni bakora makalioni mwenu mpate akili zaidi. Na mpigwe tu.

Mkuu, mi nashauri ule mtindo wa kuwaua kabisa urudishwe kwa ari mpya. Wananeng'eneka mno hawa vyasaka. Wakifa malalamiko hakuna...

OASN... wanaoanzisha hizi mada nahs huwa ni haohao wachagga wanatafuta tu kick.

Soon zitakuja zile za kuhusu kutembelea rombo, mara akuna km mwika, etc. Msimu umeanza....!!
 
Majuto ni mjukuu huja baada ya vitendo,lkn kumbuka kila anayejuta ni haraka na ujinga wake ndio unaomfanya ajute,kama unafanya unachokijua,basi amini haitaishi maisha ya kujuta,asilimia zote watu wanaojuta ni matokeo ya kutokufanya study ya kutosha juu ya jambo wanaloenda kulifanya,before doing anything unatakiwa ujue ad na disadvantage ya hicho unachotaka kufanya!!
 
Bwa shemeji lazima uishi kwa kanuni au sio? Mambo yakienda ovyo mnasaidiana na kuambiana tu.

Ewaaaa.... hayo ndio maneno bwa shemeji. ukiona dume linalialia kupelekeshwa na mkewe.... afu linatafuta sababu ya kujitetea linaangukia kwenye kabila ujue hilo dume si rizki.

Yani kutongoza utongoze wewe, mahari utoe wewe, kutia utie wewe afu mwanamke akushinde wewe..... hilo kosa la nani bwa shemeji?.
 
Kuna mtu aliyekulazimisha uwafuate? huwezi si unaacha? yanini kulalamika mziki mbovu kumbe we ndio hujui kucheza?? Ukiona huwawezi we chapa lapa.... wanaowaweza watawachukua na wala hutasikia hiki kilio kama cha fisi mwenye njaa aliyekosa mzoga.

wew ni mtunzi wa nahau na methali huna hoja ila ndo ubadilike ujumbe umekufikia, Man cant be be awoman and viceversa,,,,,take your postion. be apositive thinker sio ilimradi umepost!,,.kama kuna tatzo c ukubali tu mim kama nina tatzo nikiambiwa nafurahi sana coz inanipa nafasi ya ku change n cope with the morden world sasa wew endelea na methali zako za mwaka 1960 wakati wa uhuru this is 2014.
 
Mkuu, mi nashauri ule mtindo wa kuwaua kabisa urudishwe kwa ari mpya. Wananeng'eneka mno hawa vyasaka. Wakifa malalamiko hakuna...

OASN... wanaoanzisha hizi mada nahs huwa ni haohao wachagga wanatafuta tu kick.

Soon zitakuja zile za kuhusu kutembelea rombo, mara akuna km mwika, etc. Msimu umeanza....!!

Hahaha kweli mkuu..... maadam maiti hazilalamiki, haziliilii hovyo, hazianzishi thread..... basi na wawaue tu. Naam nasema wauwawe tu LOL
 
wew ni mtunzi wa nahau na methali huna hoja ila ndo ubadilike ujumbe umekufikia, Man cant be be awoman and viceversa,,,,,take your postion. be apositive thinker sio ilimradi umepost!,,.kama kuna tatzo c ukubali tu mim kama nina tatzo nikiambiwa nafurahi sana coz inanipa nafasi ya ku change n cope with the morden world sasa wew endelea na methali zako za mwaka 1960 wakati wa uhuru this is 2014.

We chapa lapa bana. mziki wa dada zangu huuwezi.

Ukiona kitu hakikufai kwanini ukishobokee?

Mi sioni tatizo la dada zangu ila naliona tatizo la wanaowataka dada zangu lakini wanakosa vigezo. Ndo wale wale wanaosema mi siwezi kuoa mzungu kwakuwa eti Kei zao ni za baridi..... Sababu za kitoto kumbe mziki mzito.

Chapeni lapa acheni dada zangu wapumuwe. Msipowaoa tutawaoa wenyewe.....
 
Lipi hilo la ukweli? Kwamba wadada wa kichagga wamewakalia kichwani mpaka mnalialia hovyo? Ni aibu sana kwa mwanaume kwa maana ya uanaume kulialia hovyo kupelekeshwa na mwanamke bila kujalisha kabila. Mwanaume wa kweli ndo mwenye kauli ya mwisho kwenye nyumba.

Kulialia kwa mwanaume kwa kisingizio cha uchagga ni kuzidi kuwapa wachagga heshima kuwa wanawake wa kichagga wamewashindeni nguvu. poor boys.

Nami nasema wawapige tu. Tena sasa waanze kuwatieni bakora makalioni mwenu mpate akili zaidi. Na mpigwe tu.

Waambie wanafikiri uanaume ni kuficha p****mbu kwny suruali au kuwa na uwezo kipesa,kielimu,etc.haijalishi ke ana hela,Mali,elimu ,hana chichote etc Me lazima uwe na busara na hekima ya kumwongoza ke.Akikushinda kubali una mapungufu na mwanamke akijua at a take advantage kukuvuruga mpaka utie akili.Mwisho mnakuja kulalama hapa name makabila??
 
kumbe ulikuwa haujaiskia ile nyimbo ya nikki wa pili,nje ya box,alisema hataki demu wa kitanga ukirudi mabusuu tuu hata kama umerudi mikono mitupu,anamtaka manka wa kichaga,jioni anauliza umeingiza shilingi ngapi?Big up kwa wamama wote wa kichaga,yaani wanawake waote wangekuwa kama nyinyi tusingeona ma marioo wala mabishoo wapaka poda,kazi ndio ingekuwa mpango mzima
 
Daa mtihani huo nnao ndugu yani ugomvi na maneno mengi ya kuudhi;yani jamb jambo unakuta analalama kweli
 
wew ni mtunzi wa nahau na methali huna hoja ila ndo ubadilike ujumbe umekufikia, Man cant be be awoman and viceversa,,,,,take your postion. be apositive thinker sio ilimradi umepost!,,.kama kuna tatzo c ukubali tu mim kama nina tatzo nikiambiwa nafurahi sana coz inanipa nafasi ya ku change n cope with the morden world sasa wew endelea na methali zako za mwaka 1960 wakati wa uhuru this is 2014.

afadhali umwambie wewe labda atakulewa sisi alikuwa anatubishia tu.
 
Bwa shemeji naona unawahesabu "ngauti" zako tu hapa. Dada zangu wanaonyeshaje kazi? Wape mbinumbinu bhana....

Hahaha..bwa'she mie nacheka tu vile vidume vinavyohenyeshwa..hahaha!!!!
 
Hahaha..bwa'she mie nacheka tu vile vidume vinavyohenyeshwa..hahaha!!!!

Laiti wangejua mbinu nyepesi na rahisi sana ya kuwapatia dada zangu..... lakini waache kwanza wanyooshwe watie akili.
 
Napenda weupe...ila sio wakichaga asee...niloyasikia na kuyaona yanatosha kunitisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom