Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
kwa wanawake wa kichagga wa upande wa machame;
baada ya vita kuu ya kabila hilo miaka ya 1700 (mwishoni)
ilitokea wanaume wooote kuuawa na wa kibosho.
Kwa hiyo wanawake hao wakageuka(kubeba majukumu ya wanaume) vichwa katika kuendesha shughuli za kifamilia.
Hali hiyo iliendelea kurithishwa kutoka kizazi hadi kizazi.
Ubabe huu wa kuwa ma jike dume uliwainua kiuchumi na wachagga wa sehem nyingine wakaanza kuiga tabia hiyo.
Hivyo basi unapoowa watu hao jua kwamba wana taka wawe vichwa otherwise akukute kiuchumi uko vyema.
Pamoja na hayo yooote they can kill anytime.
Believe me.
Kama ukweli ndio huu, kwanini watu wanawashobokea. Si wakaoe mbuzi kama wamekosa makabila mengine ya kuoa?