rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,113
- 18,744
Quid pro quo, huwezi kuhudumia mtu usitegemee kuhudumiwa.
Self service inakuhusu.
Ameeen. Mungu akubariki mkuu
Quid pro quo, huwezi kuhudumia mtu usitegemee kuhudumiwa.
Self service inakuhusu.
Ndio, wengine wamefunga PM kuepukana na majaribu maana wanaweza jaribiwa wakajaribika baadae mineno kama hayo juuWatu kama hawa wanatukosesha vinono
Kwanza hiyo 7800 ni nini pili una adabu wewe mtoto? Wataongeza wengine.Wakuu habari zenu,
Wahenga wanasema samaki mmoja akioza basi jua wote wameoza. Wanawake wa jf mnazidi kututhibitishia mna njaaa sana, Kitendo cha Dada kutoka Mwanza mpaka Dsm kwa ajili ya 7800 hii njaa hapana, madem wa Jf ni wepes sana huko PMs zao hili linathibitisha maisha yenu ni Magumu. Badilikeni jaman hili hali yatisha sasa.
NAWASILISHA TU,
Ameeen. Mungu akubariki mkuu
[emoji6][emoji6]BTW nimefurahi kuona comment yako.
Enjoy your love, appreciated.Mm nasonga Vyema na Beby wangu wa humuhumu JF. Tukiwa kitandani tunaitana Mkuu
Washamba kama hao dawa yao ni kuwapotezea tu.Ndio, wengine wamefunga PM kuepukana na majaribu maana wanaweza jaribiwa wakajaribika baadae mineno kama hayo juu
Mbona unawaaibisha mabaharia wewe. Chukua size yako husilazimishe size iliyokuzidi.
Acha dharau bibie wwKwanza hiyo 7800 ni nini pili una adabu wewe mtoto? Wataongeza wengine.
Heshima yako mkuu, nakusalimu kwa jina la Mwenye enzi Mungu mwingi wa rehema.Kwanza hiyo 7800 ni nini pili una adabu wewe mtoto? Wataongeza wengine.
Inzi[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi zanzi bado ipo?
Unyama kabisa wala si ujanjaNajikuta na feel pain ya huyo binti. Daah. Huo ni zaidi ya unyama bora hata umpe nauli ya kurudi kwao. Yani ukishatimiza haja zako ndo unamuona kama takataka daah. Is not fair kabisa KABISA. Ni zaidi ya unyama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm nasonga Vyema na Beby wangu wa humuhumu JF. Tukiwa kitandani tunaitana Mkuu
Haya, lakini maanisha kwa wema wala si ubaya Mama la Mama.
Hujambo? Humu JF watu wanaona ndo mahala pa kumalizia Stress zao mpaka wanawatukana mama, shangazi, bibi na dada zao.Heshima yako mkuu, nakusalimu kwa jina la Mwenye enzi Mungu mwingi wa rehema.
Dah.... Mwana umekosa koromeoWakuu habari zenu,
Wahenga wanasema samaki mmoja akioza basi jua wote wameoza. Wanawake wa jf mnazidi kututhibitishia mna njaaa sana, Kitendo cha Dada kutoka Mwanza mpaka Dsm kwa ajili ya 7800 hii njaa hapana, madem wa Jf ni wepes sana huko PMs zao hili linathibitisha maisha yenu ni Magumu. Badilikeni jaman hili hali yatisha sasa.
NAWASILISHA TU,
Mi sijambo kabisa...yani jf. imekuwa na mambo mengi kweli.Hujambo? Humu JF watu wanaona ndo mahala pa kumalizia Stress zao mpaka wanawatukana mama, shangazi, bibi na dada zao.