Asante, I appreciate..!Sawa dada
Hongereni sana kwa style yenu ya kutajana majina mwishoni, ni ushindani mzuri kwa wakuu Smart911 & Mahondaw [emoji3]
Hongereni sana kwa style yenu ya kutajana majina mwishoni, ni ushindani mzuri kwa wakuu Smart911 & Mahondaw [emoji3]
Njoo Niko hapa mitaa ya idara ya majiNipe offer
Huyo aliyempatia Dada wa watu 7800 siyo mstaarabu hata kidogo,halafu akajifanya eti alimuona mfupi halafu amekomaa!! Hapana shaka kabisa alikomaa sura tu lakini chini hajakomaa ndiyo maana akamla..angempa hata nauli ya kurudia kwao.
Wanaume wezangu naomba kuanzia wiki kesho muwapumzishe basi hawa Dada/Mama zetu kuwasema vibaya hata kwa wiki 1 tu.
Unataka Kusema 7800 Imemtoa Mtu Mkoani Mpaka Daslam
AmenQuid pro quo, huwezi kuhudumia mtu usitegemee kuhudumiwa.
Self service inakuhusu.
Hayo uliyoandikaYako vp?