Huyo ndo baharia
Wakuu habari zenu,
Wahenga wanasema samaki mmoja akioza basi jua wote wameoza. Wanawake wa jf mnazidi kututhibitishia mna njaaa sana, Kitendo cha Dada kutoka Mwanza mpaka Dsm kwa ajili ya 7800 hii njaa hapana, madem wa Jf ni wepes sana huko PMs zao hili linathibitisha maisha yenu ni Magumu. Badilikeni jaman hili hali yatisha sasa.
NAWASILISHA TU,
😂😂😂
Wanaume wa humu mkishagonga balimi na zanzi mnasumbua sana
Naomba 5000
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaume wa humu mkishagonga balimi na zanzi mnasumbua sana
Zipo mkuuHivi zanzi bado ipo?
SawaKaribu 5N hapa
Zipo mkuu
Mademu wa humu wanajifanyaga matawi kumbe hakuna kitu...
Kuna mmoja nilimfata PM,mdada mmoja hivi mjanja mjanja sana kwenye MM,basi nikaomba number akanipa,nikaanza nae ado ado,siku moja nikaenda kikazi mkoa alipo yeye,nikamwambia akaja,tukanywa nikapiga papuchi....
Siku moja tena akaanza kunitumia mapicha picha yake,anamkandia sana bwana wake,bila ya hiyana nikamwambia tukutane mkoa ambao uko katikati ninapotoka mimi na anapotoka yeye,akaja kweli nikala papuch,siku moja akaja mkoani kwangu nikala papuchi... Akaja nikera tu,vizinga kila siku,mara birthday ya mtoto,mara mama anaumwa,mara sijui vile...
Nikapiga chini... Anaanza sumbia akala block.. basi maisha yakaendelea
Unakunywa nini now?Niliwahi kuitest nikaisikia harufu ya konyagi nikaachana nayo.
Muda sana.
Unakunywa nini now?
Wanaume wengine ni wa ajabu mno, wabinafsi sana...na wao pia binadamu tuache udharirishaji, siungi mkono hoja ya mtoa mada.Mkuu mungu anakuona yani mtoto wa watu katonga tanga hadi kwako isitoshe unemchapa nao alafu unampa 7800 kweli
Nakubaliana na wewe. Ndio maana wanaume wote tunaonekana wavulana humu ndani kwa post kama hizi, kama mwanamke ana njaa ni jukumu letu kama wanaume kuhakikisha anashiba na sio kulia lia. HAIPENDEZI.Ha ha mkuu utatuaibisha wanaume wenzio hutakiwi kuja hapa kuwalalamikia Bali tunatakiwa kuwasitiri tukilalama Basi na sisi tunanjaa..