Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,428
- 11,843
Nasikia wanaume wengine akikutana na danga anaanza kumuhesabia hadi thamani ya chakula na vinywaji [emoji3][emoji3]
Yanakuwa ndo malipo [emoji23][emoji23][emoji23]
Watoto wakike wasome na kufanya kazi siyo kuishi kwa kutegemea K ni kujidhalilisha!
Yanakuwa ndo malipo [emoji23][emoji23][emoji23]
Watoto wakike wasome na kufanya kazi siyo kuishi kwa kutegemea K ni kujidhalilisha!