Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,152
- 137,155
Mimi naona wako poa tu.
Na acha watu wale maisha bana. Maisha yenyewe mafupi haya.
Na acha watu wale maisha bana. Maisha yenyewe mafupi haya.
Yaani huyo wa kwanza kushoto kajikoboa mpaka anatisha. Rangi za uso na mikono tofauti kama ni Pepsi na Mirinda
tena utakuta mtu anakandia hapa ila akitoka street anaambaaa nae kama goma lake.
upuuzi tu! hakuna lolote!
umeiona mikono yake?
Anyways, wafanyeje na wanaume wetu wa kibongo wakituona sie weusi wanatuona hatuna dili? Natafuta maji ya betri na mie nianze sasa, new year resolution.
hiyo stail ya wanja inaitwa ''sina mume ''
Nini?...kujikoboa sura ka Carica-papaya?
umeiona mikono yake?
Anyways, wafanyeje na wanaume wetu wa kibongo wakituona sie weusi wanatuona hatuna dili? Natafuta maji ya betri na mie nianze sasa, new year resolution.
Hapo sasa wanaponda tu ukiwakuta chobisi ndo magoma yao hao wapeni nafac wajinafac
umeiona mikono yake?
Anyways, wafanyeje na wanaume wetu wa kibongo wakituona sie weusi wanatuona hatuna dili? Natafuta maji ya betri na mie nianze sasa, new year resolution.
ukweli mtupu ila akiwa hapa anajidai kuponda kumbe hamna lolote.tena utakuta mtu anakandia hapa ila akitoka street anaambaaa nae kama goma lake.
upuuzi tu! hakuna lolote!
sipati picha miguu yao ilivo hapo....!!!!
wanadhani uzuri unatazamwa usoni tu.
hiyo stail ya wanja inaitwa ''sina mume ''