Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,123
- 4,026
Yaan nimechoka hahaahahahahahaKumbe wanaume ni wengi kuliko wanawake![]()
Yaan nimechoka hahaahahahahahaKumbe wanaume ni wengi kuliko wanawake![]()
Swali zuriWewe upo tayali mwanamke mmoja awaowe ninyi wanaume 4, na akidhi hayo mahitaji yenu?? wewe upo tayali geuza upande wa shlng,
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu naomba niite mkuu
walio jera, walio oa, walio na upunguf wa nguvu za kiume, mashoga... Ukitoa unabakiwa na wanaume wangapi sasa!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ikiwa wanawake ni wachache wanaume ni wengi ina maana wanawake nao wawe na wapenzi wawili na zaidi?Wasijicheleweshe akitokea mwenye mke akatak uwe mke wa pili usijishauri twice
Ukweli mchungu huuKubali au kataa mwanaume ata akisema wiki ijayo ntaoa, mrad amedhamiria anaoa kweli... Lakini mwanamke kuolewa sio maamuzi yako mwenyewe na huwez lazimisha kuolewa! Kwanza mwanamke akifika 30 tayari amechakaa,
Wanawake wako wengi ukiona mwanaume anatafuta humu ujue anataka kugegeda tu!


sio kila mwanamume ni mwanamumeBaadhi ya Wanaume nao wanahaha siyo kila Mwanaume ni Mwanaume.
kwan baada ya taraka anae weza kuoa kwa mda mfupi zaid ni mwanamke/mwanamume?!!Hapo chacha![]()
30 mbali mno kuna wengne 18 lkn ukikutana nae umamwamkia #shikamoo bibi..Sio kweli. Kuna wanaume wanapata stress ya kuoa sababu hawapat mwanamke anayemtaka.
Sio wote 30 wamechakaa.
Au ni domo zege pia inawezekana haoni type anayohitaji kitaa anawafahamu tabia zao vizuri na huwa hainogi sana ukijua background ya mwanamke hata kama atakuwa amebadilika, unajua katembea na fulani na fulani afu wote mpo hapo kitaaniKubali au kataa mwanaume ata akisema wiki ijayo ntaoa, mrad amedhamiria anaoa kweli... Lakini mwanamke kuolewa sio maamuzi yako mwenyewe na huwez lazimisha kuolewa! Kwanza mwanamke akifika 30 tayari amechakaa,
Wanawake wako wengi ukiona mwanaume anatafuta humu ujue anataka kugegeda tu!
na nyie ndio maana mnapambana juu chini ili kila kitu muwe nacho hata kama ni kwa mchina!!Hakuna mchaguzi kama mwanaumemara nataka wowowo, mara mweupe, mara mweusi, mara miguu ya bia. Heeee
Ndo hivyo ila sidhani ka itatokeaSiku ikiwa wanawake ni wachache wanaume ni wengi ina maana wanawake nao wawe na wapenzi wawili na zaidi?
takwimu na reality kipi bora?!!DATA zako ni za mitaani weka link kusupporp Mada yako
kuna baadhi tu ya Nchi tena ndogondogo ndizo wanawake wanawazidi wanaume kila wanaume 102 kuna wanawake 100
soma hiyo LIVE mpaka wanaokufa kwa sekunde hapa Duniani
tambua wanaume wanaongezeka hata kwa sekunde
mpaka sasa sekunde hii
Boofya hapa World population 2019 | Population clock live
Sensa imefanyika lini mara ya mwisho? Saiv kati ya wanawake 10 wenye watoto wa kike watatu. Ndiko tunakoelekea huko subiri
maneno ya mungu pale eden hakuna sehem aliosema nendeni mkasome,Do your research well.
Kama mwanamke ni wa shule sana unakuta anafika 30 ndio ana miaka miwili kazini. Na mwingine ana plans zake kabla ya kuingia kny ndoa.
Halafu wengine wana prefer partnership kuliko commitment kubwa ya ndoa.


waongo wakubwa!!Ukitaka kujua nguvu ya wanawake hata kama tupo wengi angalia mada zinazo letwa humu kila dakika wanaume wanaleta mada kulalamika humu na kutafuta wachumba.