Wanawake ukubalini huu ukweli mchungu

Wanawake ukubalini huu ukweli mchungu

Kubali au kataa mwanaume ata akisema wiki ijayo ntaoa, mrad amedhamiria anaoa kweli... Lakini mwanamke kuolewa sio maamuzi yako mwenyewe na huwez lazimisha kuolewa! Kwanza mwanamke akifika 30 tayari amechakaa,

Wanawake wako wengi ukiona mwanaume anatafuta humu ujue anataka kugegeda tu!
Ukweli mchungu huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubali au kataa mwanaume ata akisema wiki ijayo ntaoa, mrad amedhamiria anaoa kweli... Lakini mwanamke kuolewa sio maamuzi yako mwenyewe na huwez lazimisha kuolewa! Kwanza mwanamke akifika 30 tayari amechakaa,

Wanawake wako wengi ukiona mwanaume anatafuta humu ujue anataka kugegeda tu!
Au ni domo zege pia inawezekana haoni type anayohitaji kitaa anawafahamu tabia zao vizuri na huwa hainogi sana ukijua background ya mwanamke hata kama atakuwa amebadilika, unajua katembea na fulani na fulani afu wote mpo hapo kitaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Do your research well.
Kama mwanamke ni wa shule sana unakuta anafika 30 ndio ana miaka miwili kazini. Na mwingine ana plans zake kabla ya kuingia kny ndoa.
Halafu wengine wana prefer partnership kuliko commitment kubwa ya ndoa.
maneno ya mungu pale eden hakuna sehem aliosema nendeni mkasome,

alisema nendeni mkazaane muujaze ulimwengu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom