Wanawake ukubalini huu ukweli mchungu

Wanawake ukubalini huu ukweli mchungu

Hahaha sasa unatusaidiaje??Ila nyie kwa kuchagua mmezidi aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke ana angalia mwanaume huyu nikiolewa naye ataweza nihudumia basi.
Ila mwanaume ndio mbwembwe mara natafuta bikra mara asiye na mtoto, mara mnene, mwembamba, mrefu, mfupi, hajafika kwenye makabila hapo
 
Mwanamke ana angalia mwanaume huyu nikiolewa naye ataweza nihudumia basi.
Ila mwanaume ndio mbwembwe mara natafuta bikra mara asiye na mtoto, mara mnene, mwembamba, mrefu, mfupi, hajafika kwenye makabila hapo
Mh vice versa is true..Anyway labda mpo ambao sio wachaguaji ambao mtakuwa wachache tena above 26 ila wengi ni wa hizo sifa ulizozielezea.

Ila sijawahi kuona mwanaume akililia kuoa bikra aisee labda watu wa mwambao labda napo sina uhakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh vice versa is true..Anyway labda mpo ambao sio wachaguaji ambao mtakuwa wachache tena above 26 ila wengi ni wa hizo sifa ulizozielezea.

Ila sijawahi kuona mwanaume akililia kuoa bikra aisee labda watu wa mwambao labda napo sina uhakika

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo humu wanaotaka kuoa mabikra sasa sijui changamsha genge au wanamaanisha.
 
Naona hata kuoa ni bahat. Wanaume wasingekua wanatafuta wake mpaka humu
Wanaume wengi wanao tafuta wanawake kati ya wanaume 10 mmoja tu ndiye huwa mwenye nia ya dhati na kweli ...

Wengi huwa wanajivisha ukondoo ...ili tu wapate wanawake wa kungonoka nao..

Ni wanaume wachache sana Ambao huwa wanapolitamka neno Nakupenda huwa wanamaanisha wakisemacho ..... ila wengi hulitumia neno nakupenda kama mtego wanyavu wenye lengo la kuvua. samaki tu baharini


Na maanisha kwamba usihadaike na wanaume wanaojifanya kutafuta wanawake humu ukadhani kuwa wana dhamira nzuri ya ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchakavu wa ki maumbile, mwili unaanza kufifia, pia heshima yako kama mwanamke haipo... Unaonekana muhuni tu! Kumbuka mwanamke anae heshimika ni MAMA au MWENYE BIKRA na MKE WA MTU


OVA
Hizi heshima ni according to analysis zako.. Uolewe usiolewe,uoe usioe hakuna atakaebaki kijana milele miili ya wote itachoka na kufifia. Hata hao walioolewa kuna ambao heshima zao hazipo kutokana na tabia zao. Ndoa haileti heshima kwa mtu isipokuwa matendo na mienendo yake katika jamii anayoishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizi tafiti umezifanyia wapi mbona huku kijijini kwetu wanaume ni wengi kulioko wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
dunia haichukui tafti kwa kijiji kimoja, bali kwa dunia nzima..

mfa, shule inaweza kuwa na one 10, lkn ikawa ma zero 1000, hivyo ikashika nafasi ya mwisho lkn ukakutana ka-shile kana three&two na four za mbali lkn kakawa ktk nafasi nzuri..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi heshima ni according to analysis zako.. Uolewe usiolewe,uoe usioe hakuna atakaebaki kijana milele miili ya wote itachoka na kufifia. Hata hao walioolewa kuna ambao heshima zao hazipo kutokana na tabia zao. Ndoa haileti heshima kwa mtu isipokuwa matendo na mienendo yake katika jamii anayoishi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni maneno ya kujifariji, ndo maana mtoa post akasema huu ni ukweli mchungu.

Lakini usijali dada utapata Mume na utaolewa
 
Back
Top Bottom