Wanawake ukubalini huu ukweli mchungu

Wanawake ukubalini huu ukweli mchungu

Haya mambo mimim nashindwa kuyaelewa..... hivi kuna tafafiti zozote zile zilizofanywa na kuonyesha kuna tataizo kubwa la wanawake kutopata wachumba/waume? Na kama suala ni mwanamke kufanya uchaguzi wa nani anamfaa na nani hamfai nadhani pia si tatatizo. Ni bora mwanamke/mwanaume akaishi bila mke/mume kuliko kuliingia janga kisa tu kupata ndoa.
Unataka kupingana na maandiko ya mungu aliosema mwanamke/mwanaume ataacha wazazi na kuambatana na mwezi wake eti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila bado kuna ka- tatizo ka kutoolewa wadada wengi miaka ya hv karbuni

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kwenye zama hizo biblia imeonesha kulikuwa na masuria.
Siku hizi masuria hawapo. Ndio Hawa wasiolewa.
Yawezekana Kuna mtu alitakiwa kuwa mke wa mtu bahati mbaya jamaa kaoa aliyetakiwa kuwa suria hivyo mke kukosa mume

Huu ubaguzi upo Hadi kwenye biblia tunachoamini Ni kitabu Cha Mungu.
Na ukiona mwanamke ndoa imemshinda ujue hakufaa kuwa mke.
Alitakiwa awe anazaa watoto chini ya mwanamke mwingine.
Lakini mabadiliko yaliyoletwa yamesababisha wengine wateseke.

BTW hakuna kipindi wanawake waliwahi kuolewa wote. Hata wakati mtu mmoja anaweza kuwamiliki 10 Bado makahaba walikuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
INASEMEKANA:

Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima huku Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2.

Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume, au kukataa ndoa ya uke wenza.

Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2, Bilioni 1 tayari wamekwishaoa, Milioni 200 wako jela na wenye matatizo ya akili na hivyo Wanabaki wanaume bilioni 1 tu

Milioni 500 hawana kazi, Kumbuka asilimia tano (5%) wamo kwenye ndoa za jinsia moja, Asilimia tatu (3%) ni mapadri wa Katoliki. Hawaoi.

Asilimia kumi (10%) ni ndugu wa damu. Hawawezi kukuoa, Asilimia ndogo inayobaki ni wazee kuanzia miaka 80.

Naongezea hapo hatujawatoa wenye upungufu wa nguvu za kiume

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, kwenye zama hizo biblia imeonesha kulikuwa na masuria.
Siku hizi masuria hawapo. Ndio Hawa wasiolewa.
Yawezekana Kuna mtu alitakiwa kuwa mke wa mtu bahati mbaya jamaa kaoa aliyetakiwa kuwa suria hivyo mke kukosa mume

Huu ubaguzi upo Hadi kwenye biblia tunachoamini Ni kitabu Cha Mungu.
Na ukiona mwanamke ndoa imemshinda ujue hakufaa kuwa mke.
Alitakiwa awe anazaa watoto chini ya mwanamke mwingine.
Lakini mabadiliko yaliyoletwa yamesababisha wengine wateseke.

BTW hakuna kipindi wanawake waliwahi kuolewa wote. Hata wakati mtu mmoja anaweza kuwamiliki 10 Bado makahaba walikuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
kumbeeee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom