Wanawake ukubalini huu ukweli mchungu

Wanawake ukubalini huu ukweli mchungu

*INASEMEKANA:*

_*Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima.*_

*Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2.*

_*Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume, au kukataa ndoa ya uke wenza.*_

*Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2:*

1. _*Bilioni 1 tayari wamekwishaoa.*_

2. _*Milioni 200 wako jela na wenye matatizo ya akili.*_

*Wanabaki wanaume bilioni 1 tu .*

3. _*Milioni 500 hawana kazi.*_

4. _*Kumbuka asilimia tano (5%) wamo kwenye ndoa za jinsia moja.*_

5. _*Asilimia tatu (3%) ni mapadri wa Katoliki. Hawaoi.*_

6. _*Asilimia kumi (10%) ni ndugu wa damu. Hawawezi kukuoa.*_

7. _*Asilimia ndogo inayobaki ni wazee kuanzia miaka 80.*_

*Naongezea hapo hatujawatoa wenye upungufu wa nguvu za kiume.*

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli Mungu, utafiti wenye uovu ndani yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhan itakua ni ile aman unayoapata moyon ukijua i have some one to count on..mtu ambae mnaeza pata watoto na mka watch over them grow wakiwa wanajitengenezea maisha yao..ts a good feeling kupata mfariji..trust me upweke so poa specially when upo late 50s au 60s ivi..afu imagine huna wa kua na ww au kukuskiliza instead upo vituo vya kulea wazee walio telekezwa
Kuna nini huko kwenye ndoa mpaka iwe Ni bahati?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhan itakua ni ile aman unayoapata moyon ukijua i have some one to count on..mtu ambae mnaeza pata watoto na mka watch over them grow wakiwa wanajitengenezea maisha yao..ts a good feeling kupata mfariji..trust me upweke so poa specially when upo late 50s au 60s ivi..afu imagine huna wa kua na ww au kukuskiliza instead upo vituo vya kulea wazee walio telekezwa


Sent using Jamii Forums mobile app
Upate right patner sio ili mradi ndoa. Kama watoto unaweza pata bila ndoa
 
Back
Top Bottom