mrsleo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,588
- 3,886
kawaida tu watu tunachangia harusi mpaka tunataka kukimbiana, wewe unasema bahatiSaiv mwanamke kuolewa ni bahati kubwa na amshukuru Mungu
kawaida tu watu tunachangia harusi mpaka tunataka kukimbiana, wewe unasema bahatiSaiv mwanamke kuolewa ni bahati kubwa na amshukuru Mungu
This is very true 100%. Hongera sanaSasa Mungu alivyo wa ajabu hiko kipindi ndio anakosa mtu sasa
Wakati ndio nyie hamuoi kwanza mpaka mwanamke aanze kutema mate na kula ndimu. Na ndio maana mchina aligundua kuna watu kama nyie akatengeneza fekibikra kwanza maana naona wimbi la kupoteza mabikra linazidi kuwa kubwa, cku hizi mabikra wamekuwa dragon, dinosaur, na magodzilla waliopotea miaka ile..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisaaa. Mambo yamebadikika sana. Mitindo ya maisha ya zaman na siku hizi tofauti. Zaman wazee wanagombana wakitoka nje mke na mume mfano wa kuigwa wakiingia ndani kila mtu na chumba chake. Au chumba kimoja ila kila mtu na kitanda chake. Je kizazi chetu tunawezaNaam heri nusu shari kuliko shari kamili.
sawaKuna eneo fulani wanawake waliandamana kutaka waolewe;pia wanawake wanaongoza ktk vikundi vya maombi ya kuombea wachumba;waliojikatia tamaa wanatafuta mtu wa kuzaa naye na kuwa single M.
Wasijicheleweshe akitokea mwenye mke akatak uwe mke wa pili usijishauri twiceKwahiyo ambao hawajaolewa wafanyeje?
😀😀😀😀,Huwezi kuwa adui kwa kusema ukweli!!Kubali au kataa mwanaume ata akisema wiki ijayo ntaoa, mrad amedhamiria anaoa kweli... Lakini mwanamke kuolewa sio maamuzi yako mwenyewe na huwez lazimisha kuolewa! Kwanza mwanamke akifika 30 tayari amechakaa,
Wanawake wako wengi ukiona mwanaume anatafuta humu ujue anataka kugegeda tu!
E bwana unaweza nielekeza hvyo vikundi wanafanyia wapi//?? maana natafta mlokole wa kuzaa nayeKuna eneo fulani wanawake waliandamana kutaka waolewe;pia wanawake wanaongoza ktk vikundi vya maombi ya kuombea wachumba;waliojikatia tamaa wanatafuta mtu wa kuzaa naye na kuwa single M.
Mbona mashoga hawapo*INASEMEKANA:*
_*Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima.*_
*Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2.*
_*Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume, au kukataa ndoa ya uke wenza.*_
*Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2:*
1. _*Bilioni 1 tayari wamekwishaoa.*_
2. _*Milioni 200 wako jela na wenye matatizo ya akili.*_
*Wanabaki wanaume bilioni 1 tu.*
3. _*Milioni 500 hawana kazi.*_
4. _*Kumbuka asilimia tano (5%) wamo kwenye ndoa za jinsia moja.*_
5. _*Asilimia tatu (3%) ni mapadri wa Katoliki. Hawaoi.*_
6. _*Asilimia kumi (10%) ni ndugu wa damu. Hawawezi kukuoa.*_
7. _*Asilimia ndogo inayobaki ni wazee kuanzia miaka 80.*_
*Naongezea hapo hatujawatoa wenye upungufu wa nguvu za kiume.*
Sent using Jamii Forums mobile app
walio jera, walio oa, walio na upunguf wa nguvu za kiume, mashoga... Ukitoa unabakiwa na wanaume wangapi sasa!!?Acha kupotosha. Mpaka sasa wanaume ndio tunaongoza kwa kuwa wengi katika huu ulimwengu
World population (live)
7,687,460,546 Current population
3,877,615,323
Current male population
(50.4%)
3,809,845,223
Current female population
(49.6%)
30,138,010 Births this year
268,474 Births today
11,786,542 Deaths this year
104,996 Deaths toda
Upo sahihi kabisaa!Kunywa kinywaji upendacho mkuu,nakuja kulipia.Hizi heshima ni according to analysis zako.. Uolewe usiolewe,uoe usioe hakuna atakaebaki kijana milele miili ya wote itachoka na kufifia. Hata hao walioolewa kuna ambao heshima zao hazipo kutokana na tabia zao. Ndoa haileti heshima kwa mtu isipokuwa matendo na mienendo yake katika jamii anayoishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha ha haE bwana unaweza nielekeza hvyo vikundi wanafanyia wapi//?? maana natafta mlokole wa kuzaa naye
Thanks dear nishaagiza njooUpo sahihi kabisaa!Kunywa kinywaji upendacho mkuu,nakuja kulipia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huna wivu!?Huu Uzi wakiupitia wanapata hasira Sana.
Lakini all in all wivu tu na ubinafsi ndio unawaongoza.
Kama mwanaume anaweza kuwahudumia wote, shida iko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app