*INASEMEKANA:*
_*Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima.*_
*Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2.*
_*Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume, au kukataa ndoa ya uke wenza.*_
*Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2:*
1. _*Bilioni 1 tayari wamekwishaoa.*_
2. _*Milioni 200 wako jela na wenye matatizo ya akili.*_
*Wanabaki wanaume bilioni 1 tu

.*
3. _*Milioni 500 hawana kazi.*_
4. _*Kumbuka asilimia tano (5%) wamo kwenye ndoa za jinsia moja.*_
5. _*Asilimia tatu (3%) ni mapadri wa Katoliki. Hawaoi.*_
6. _*Asilimia kumi (10%) ni ndugu wa damu. Hawawezi kukuoa.*_
7. _*Asilimia ndogo inayobaki ni wazee kuanzia miaka 80.*_
*Naongezea hapo hatujawatoa wenye upungufu wa nguvu za kiume.*
Sent using
Jamii Forums mobile app