Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,767
- 17,800
ukitaftwa humu c kwa ajiri ya kuolewa... unaliwa bumunda wanapita ivi..Nyani hauni nanii yake



Sio kwamba ni dharau bali wanahitaji kupata wanao wapenda kwa dhati.
Nyani hauni nanii yake
Tatzo mnachagua mno!......Sasa umkubali mtu hata kama humpendi. Kuliko kuolewa na kuachika baada ya miezi 6 bora kuto olewa tu
Sio kweli. Kuna wanaume wanapata stress ya kuoa sababu hawapat mwanamke anayemtaka.Kubali au kataa mwanaume ata akisema wiki ijayo ntaoa, mrad amedhamiria anaoa kweli... Lakini mwanamke kuolewa sio maamuzi yako mwenyewe na huwez lazimisha kuolewa! Kwanza mwanamke akifika 30 tayari amechakaa,
Wanawake wako wengi ukiona mwanaume anatafuta humu ujue anataka kugegeda tu!
Hahahaha mkuu niko na baba yangu huku jukwaaniSi useme tu "kundule"mbona mitihani ya kiswahili mnajaza vizuri tena kwa herufi kubwa,😃😃😃
Hakuna mchaguzi kama mwanaumeTatzo mnachagua mno!......



mara nataka wowowo, mara mweupe, mara mweusi, mara miguu ya bia. HeeeeKwani wao si ndo wahenga waliotuleta hizi mambo🙄🙄🙄🙄Hahahaha mkuu niko na baba yangu huku jukwaani
Yes ila naheshimu uwepo wake humuKwani wao si ndo wahenga waliotuleta hizi mambo🙄🙄🙄🙄
kabisa wanakufwa na utamu wao bureWaache kukutaa ovyo! Watakufa na utamu wao
tatizo takwimu ndio inazidi kuwabana nyie wanawakeSio kwamba ni dharau bali wanahitaji kupata wanao wapenda kwa dhati.



Either 30 umechakaa au hujachakaa... Kilichopo kwenye ubongo wa mwanaume ni kwamba ushatumika sana, na wengi wenu ukifka umri uo ni ngumu kukataa na uko tayari kugegedwa ili atleast upate mtoto, sasa hapo labda upate mwanaume ambaye anae ongeza mke au aliye talakiana au na yeye ana watoto tayariSio kweli. Kuna wanaume wanapata stress ya kuoa sababu hawapat mwanamke anayemtaka.
Sio wote 30 wamechakaa.
soma hiyo LIVE mpaka wanaokufa kwa sekunde hapa DunianiThe sex ratio for the entire world population is 102 males to 100 females (2017est.). Depending upon which definition is used, between 0.1% and 1.7% of live births are intersex.
Boofya hapa World population 2019 | Population clock live3,877,592,188
Current male population (50.4%)
3,809,822,492
Current female population (49.6%)
30,062,687
Births this year
193,151
Births today
11,757,085
Deaths this year
Nani alio kwambia nahitaji mume.ukitaftwa humu c kwa ajiri ya kuolewa... unaliwa bumunda wanapita ivi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Do your research well.Either 30 umechakaa au hujachakaa... Kilichopo kwenye ubongo wa mwanaume ni kwamba ushatumika sana, na wengi wenu ukifka umri uo ni ngumu kukataa na uko tayari kugegedwa ili atleast upate mtoto, sasa hapo labda upate mwanaume ambaye anae ongeza mke au aliye talakiana au na yeye ana watoto tayari
Kumbe wanaume ni wengi kuliko wanawakeDATA zako ni za mitaani weka link kusupporp Mada yako
kuna baadhi tu ya Nchi tena ndogondogo ndizo wanawake wanawazidi wanaume kila wanaume 102 kuna wanawake 100
soma hiyo LIVE mpaka wanaokufa kwa sekunde hapa Duniani
tambua wanaume wanaongezeka hata kwa sekunde
mpaka sasa sekunde hii
Boofya hapa World population 2019 | Population clock live


Sasa ngoja nkupe siri, hayo ni matamanio tu... ikifika kipindi cha kuoa anaangalia mwanamke ambaye hatamsumbua, makalio,weupe hizo ni nyongezaHakuna mchaguzi kama mwanaumemara nataka wowowo, mara mweupe, mara mweusi, mara miguu ya bia. Heeee