cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 88,280
- 141,661
Nafunguka hisia zangu kama nyie tu.aje?
Ila wanawake mkitongoza mkikataliwa mnatia huruma sana, kuna mdada nikimuangalia anavyoteseka sijui nimuhurumie? Ila hapana
Mtege mwamba kama ategeki mchanesio muumini wa falsafa hiyo.
🤣🤣🤣🤣Ukute mwanaume maharage ya mbeya kama mimi, ni chap kwa haraka umenipata
😂
Dah jamaa mstaarabu ila ukute vijana wa hovyo hapo angepiga tu na kusepa ila miaka 4 mlipendanaNafunguka hisia zangu kama nyie tu.
😂😂😂kuna kijana niliwa kumtongoza huu ndo ulikuwa my first and last mtongozo🤣🤣🤣akaniletea pozi mara ya kwanza nikamlia buyu ile kama namsikilizia 🤣wiki nyingi akaingia kingi we dated miaka minne kama sio mitano😂
Unaona sasa, usingemfungukia ungekuwa single for 4/5 yrs.Nafunguka hisia zangu kama nyie tu.
😂😂😂kuna kijana niliwa kumtongoza huu ndo ulikuwa my first and last mtongozo🤣🤣🤣akaniletea pozi mara ya kwanza nikamlia buyu ile kama namsikilizia 🤣wiki nyingi akaingia kingi we dated miaka minne kama sio mitano😂
Haina noma, naamini nitakua na amani nikikausha kuliko kujitia kiherehere. Mwanaume hatongozwi.Your loss
Yote kheri. Kibongo bongo mwanaume hatongozwi.Utakufa na kihoro shauri yako wenzio siku hizi wanafunguka
Wapi huko anatongozwa?Yote kheri. Kibongo bongo mwanaume hatongozwi.
Thubutuuu!!! Iliwahi tokea hii, jamaa anarud kwangu mie nsha move on kitamboo, na nsha sahau km nliwahi muelewa.Mtege mwamba kama ategeki mchane
Hapana. Si wanajitokeza kila leo nitachagua humo humo.Utakufa single
Kwa wenzetu ngozi nyeupe naona si issue sana tofauti na huku kwetu.Wapi huko anatongozwa?
Wadada kuna ile time mkaka umemuelewa na unatamani awe boy wako ila ye hana habari na wewe mnafanyaje ili mkaka ajue kuwa unampenda?
Mtu wa kitonga Ungekuwa dem wangekuwa washakukula pande zote bila shaka 😂Ukute mwanaume maharage ya mbeya kama mimi, ni chap kwa haraka umenipata
😂
Sikuwa najua hiliKwa wenzetu ngozi nyeupe naona si issue sana tofauti na huku kwetu.