Hypershulemia
JF-Expert Member
- May 19, 2021
- 214
- 701
Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
Tunamtongoza on behalfHivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
😂😂😂
Kwa niaba yake😂Tunamtongoza on behalf
NakaziaTunamtongoza on behalf
😂 bado hamjakazia
Mimi kiukweli na tengeneza mazingira ya kumbaka basi sina choice ila sasa sio umpendee kila mtu utaitwa kicheche kuna baadhi ya watu wanakufanya uwapende wanavutia kisa wanazile nguzo zako ulizowekaga . Ila mie ni mtu mmbaya sana nikiwa na mtu siwezi rudia mechi kabisa mapenzi kwangu siku hizi ni changamoto maana siipi kipaumbele
Sasa atajua vipi kama unampenda? Au unamtupia lawama za bure?Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
Da mauaaaMimi kiukweli na tengeneza mazingira ya kumbaka basi sina choice ila sasa sii umpendee kila mtu utaitwa kicheche kuna baadhi ya watu wanakufanya uwapende wanavutia kisa wanazile nguzo zako ulizowekaga . Ila mie ni mtu mmbaya sana nikiwa na mtu siwezi rudia mechi kabisa mapenzi kwangu siku hizi ni changamoto maana siipi kipaumbele
Pole sana kwa uliyowahi kuyapitia yakakuumizaMimi kiukweli na tengeneza mazingira ya kumbaka basi sina choice ila sasa sii umpendee kila mtu utaitwa kicheche kuna baadhi ya watu wanakufanya uwapende wanavutia kisa wanazile nguzo zako ulizowekaga . Ila mie ni mtu mmbaya sana nikiwa na mtu siwezi rudia mechi kabisa mapenzi kwangu siku hizi ni changamoto maana siipi kipaumbele
Nimefanyaje??Da mauaaa
Nn shida mapenzi yanekufanyajeNimefanyaje??
Sijawahi kumizwa na mapenzi ila mie naliaga kama alikuwa tajiriPole sana kwa uliyowahi kuyapitia yakakuumiza
Ndio hayo hayo si chanzo ni mapenzi dada maua samaSijawahi kulizwa na mapenzi ila mie naliaga kama alikuwa tajiri
Umezungumza kwa uchungu sana hadi nimekuonea huruma. Maaama!Mimi kiukweli na tengeneza mazingira ya kumbaka basi sina choice ila sasa sii umpendee kila mtu utaitwa kicheche kuna baadhi ya watu wanakufanya uwapende wanavutia kisa wanazile nguzo zako ulizowekaga . Ila mie ni mtu mmbaya sana nikiwa na mtu siwezi rudia mechi kabisa mapenzi kwangu siku hizi ni changamoto maana siipi kipaumbele