Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume halafu yeye hakutongozi, huwa mnafanya nini?

Wadada
Ms eyes Lenie Kelsea Depal na wengineo mje huku mna swali lenu Unique Flower
Mimi kiukweli na tengeneza mazingira ya kumbaka basi sina choice ila sasa sio umpendee kila mtu utaitwa kicheche kuna baadhi ya watu wanakufanya uwapende wanavutia kisa wanazile nguzo zako ulizowekaga . Ila mie ni mtu mmbaya sana nikiwa na mtu siwezi rudia mechi kabisa mapenzi kwangu siku hizi ni changamoto maana siipi kipaumbele
 
Mimi kiukweli na tengeneza mazingira ya kumbaka basi sina choice ila sasa sii umpendee kila mtu utaitwa kicheche kuna baadhi ya watu wanakufanya uwapende wanavutia kisa wanazile nguzo zako ulizowekaga . Ila mie ni mtu mmbaya sana nikiwa na mtu siwezi rudia mechi kabisa mapenzi kwangu siku hizi ni changamoto maana siipi kipaumbele
Da mauaaa
 
Mimi kiukweli na tengeneza mazingira ya kumbaka basi sina choice ila sasa sii umpendee kila mtu utaitwa kicheche kuna baadhi ya watu wanakufanya uwapende wanavutia kisa wanazile nguzo zako ulizowekaga . Ila mie ni mtu mmbaya sana nikiwa na mtu siwezi rudia mechi kabisa mapenzi kwangu siku hizi ni changamoto maana siipi kipaumbele
Pole sana kwa uliyowahi kuyapitia yakakuumiza
 
Mimi kiukweli na tengeneza mazingira ya kumbaka basi sina choice ila sasa sii umpendee kila mtu utaitwa kicheche kuna baadhi ya watu wanakufanya uwapende wanavutia kisa wanazile nguzo zako ulizowekaga . Ila mie ni mtu mmbaya sana nikiwa na mtu siwezi rudia mechi kabisa mapenzi kwangu siku hizi ni changamoto maana siipi kipaumbele
Umezungumza kwa uchungu sana hadi nimekuonea huruma. Maaama!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom