Django doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 1,351
- 3,095
Mwanamke!dem ndo nini?
Mwanamke!dem ndo nini?
Nimewapigia simba Cement nimewaambia walete mifuko 100 sasa sanamu lako tujenge wapi?😂💩 wadangaji humu karibia wote wamesema mwanaume akijikausha basi na wao wanajikausha kwasabab wanaona wakimtongoza mwanaume watajishusha thaman...
Najiuliza thaman gani wakat tayar ushazalishwa upo kwenu singo maza 💩 thaman gani unashusha wakat kila weekend unakesha bar unanunuliwa flying fish ukaliwe asubuhi upewe hela ya supu 💩 thaman gani unashusha wakat unaomba vocha inbox kwa wanaume...
Nakazia sana sana sana.Wanawake wengi ambao hutongoza....wengi huwa wana sura zisizofurahisha macho niishie hapa.
Ndivyo inavyotakiwa hivyo usijilegeze sana ila usiwe mgumu sana vile vile, mjengee mazingira ya kuwa nae karibu ila usirahisishe process maana anaweza akakulamba alafu akaingia mitini Kwa kuwa hukuwa kwenye plan yake. Na wadada wanavyojua kukasirika alipitiwa shaaaa alafu lijamaa likasepa (anabaki wanaume wote ni mbwa kumbe alijilengesha mwenyewe)Nasubiri afunguke asipofunguka basi. Nina utaratibu wangu mwanaume asiponitamkia kunihitaji ni marufuku kumuanza hata iweje nakufa na tai shingoni.
Sawa rafiki.Ndivyo inavyotakiwa hivyo usijilegeze sana ila usiwe mgumu sana vile vile, mjengee mazingira ya kuwa nae karibu ila usirahisishe process maana anaweza akakulamba alafu akaingia mitini Kwa kuwa hukuwa kwenye plan yake. Na wadada wanavyojua kukasirika alipitiwa shaaaa alafu lijamaa likasepa (anabaki wanaume wote ni mbwa kumbe alijilengesha mwenyewe)
Unaanzaje kumtongoza mwanaume mwenzako we coca?Ntamuonesha ishara kuwa nimemuelewa na namkubali, sasa kazi kwake kujiongezaa, akini face fresh, akikausha na mie nakaukaa kauuu.
Kamwee siwezi kumtongoza mwanaume kavu kavu, najiona km najishusha thamani vilee.
![]()
Haya..Mwanaume hatongozwi.
Shida ni kwamba unataka wewe gharama zibakie kwangu,ndio maana bora kukaa pembeni.Nasubiri afunguke asipofunguka basi. Nina utaratibu wangu mwanaume asiponitamkia kunihitaji ni marufuku kumuanza hata iweje nakufa na tai shingoni.
Naheshimu mawazo yako.Shida ni kwamba unataka wewe gharama zibakie kwangu,ndio maana bora kukaa pembeni.
Baada ya kusoma comments zako niliona nikusalimie.Hello!
nataka jibu hapa.Na akikubali inawezekana kumuomba hela ?
Shukrani sana rafiki 🥂Baada ya kusoma comments zako niliona nikusalimie.
Muhimu: Ahsante kwa reply.
Mkuu hii kanuni ilikua inafanya kazi zamani kipindi ambacho kulikua na mapenzi ya kweli kwa sasa mahusiano ya kimapenzi ni biashara ya kuuziana hisia/ngono, hili hisia zako ziwe satisfy unatakiwa kuingia gharama either ya pesa(kwa mwanaume) au kujishusha thamani(kwa mwanamke). Mwanaume anajua akianza kumtongoza atabebeshwa gharama zote za hayo mahusiano maana yeye ndie anahitaji kutimiza hitaji lake la hisia. Mwanamke anajua akianza kutongoza atakosa zile huduma na thamani ambayo alitakiwa kupewa kwa kigezo kwamba kajileta yeye mwenyewe. Hapo ndipo kwenye mtego sasa atakaeanza kufunguka ndie atakaejiweka kwenye upande dhaifu.Ukitongoza tu mwanaume umeharibu sababu itampa maswali sana kuwa wewe ni mwanamke wa aina gani unafuata mwanaume na huko ulipotoka umetongoza wangapi?
Kimsingi jitahidi sana kuweka nae ukaribu ila sio kumtongoza wacha yeye afanye hiyo kazi.
Nitakupa mfano, upo ofisini na ume mspot mkaka ambaye umemkubali. Sasa jitahidi sana kuwa msaada kwake kwenye mambo madogo madogo kiasi kwamba aone amepata partner wa kumsaidia. Usiwe na condition kwake akiwa anataka kuconnect na wewe mara umwambie nalala, mara siwezi kuchat, sitaki kitu fulani, yaani ukiwa. Na masharti mengi mwanaume anatafsiri kuwa unamuwekea vikwazo ili asikupate.
Wanaume wengi siku hizi hatutumii nguvu sana wala jitihada nyingi kutongoza sababu hatutaki poteza muda kuwekeza sehemu ambazo hatutakiwi.