Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,599
Hawa watu maarufu kumbenni waongo hivi wanatangaza majani ya chai yanasaidia tumbo liwe flat kumbe wala hata sio,Rob kardashian kawaumbua baada ya kuweka wazi baby mama wake chyna alifanyiwa upasuaji baada ya kujifungua ili shepu iwe nzuri na tumbo liwe la kuvutia,halaf wakiwa insta wanatuonyesha majani,,watu wamejua sasa hayo majani yenu sasa hatutaki mtuache tulivyo,,
Mtu anakunywa chai ya hayo majani na anapiga squat za kutosha lakin tumbo haliwi kama la chyna au Kim,kumbe wanatudanganyaa wee
Tunamshukuru Rob kwa kutusaidia kujua
Mtu anajinyima kula anashindia mboga mboga mpaka unakuwa unanukia majani mabichi tu mwili wote lakin tumbo lipo pale pale Mungu anawaona washushe hizo bei za surgery na sie tuwe na maumbo kama ya kina chyna aisee,, Miss Natafuta @jestikila Evelyn Salt mkuje hapa
Mtu anakunywa chai ya hayo majani na anapiga squat za kutosha lakin tumbo haliwi kama la chyna au Kim,kumbe wanatudanganyaa wee
Tunamshukuru Rob kwa kutusaidia kujua
Mtu anajinyima kula anashindia mboga mboga mpaka unakuwa unanukia majani mabichi tu mwili wote lakin tumbo lipo pale pale Mungu anawaona washushe hizo bei za surgery na sie tuwe na maumbo kama ya kina chyna aisee,, Miss Natafuta @jestikila Evelyn Salt mkuje hapa