MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,084
Kwa hiyo mix lazima tumbo litutumke,na hapo hujaweka supu na chapati 2 kila asubuhi,utasikia anasema "yaani mi nashangaa hili tumbo linatoka wapi,yaani jinsi ninavyojitahidi kutokula hovyo hovyo hata sielewi"...
hahahahahahahahah uwiiiiiiii acha nicheke jaman