Wanawake this is the harsh reality

Huu uzi wa maajabu sana!; Wanaume mtimize majukumu yenu. Acheni kupenda mteremko..mkeo ana kazi unataka hela anayopata ndo matumizi ya nyuma,kwan ndo jukumu lake?
 
Wewe ni feminist kama Joyce kiria huna lolote, harafu inaonekana ni jeuri na unapenda kushindana na wanaume.

Kumbuka huwezi kwenda haja ndogo ukiwa umesimama razima uchutume,

Tulia utajizeekea mwenyewe shauri yako

Yaani kuwapa victims support, Joyce kawa feminist, unaijua definition ya feminist?
 
Kaufyate kwa mkeo maana ndiyo anakulisha,
Uliskia wapi wewe choko mdebwedo! Af deal na mlume achana na wife au unataka ukaimu cheo chake, njoo nikugonge nikulishe basi mavuzi ww!
 
Huu uzi wa maajabu sana!; Wanaume mtimize majukumu yenu. Acheni kupenda mteremko..mkeo ana kazi unataka hela anayopata ndo matumizi ya nyuma,kwan ndo jukumu lake? View attachment 1609441
Hivi hii post inakuja kwa lugha tofauti katika kila simu nini? Hio video umeiangalia ukaelewa vizuri kweli?
 

Kweli mkuu..wanaume hata humu ukiongea ya kuwasupport wanaona una akilii na mwanamke unayefaa...na ukienda against wao kwa lolote utasikia feminist, utapewa majina yote..pathetic!
 
Yaani kuwapa victims support, Joyce kawa feminist, unaijua definition ya feminist?
Hao victim huwa wanapigwaga tu, wenyewe hawakoseagi? Kinachomshusha P huyo Kiria ameegama upande mmoja. Kwanini hasemi makosa yanyopelekea wapigwe!?
 
Hivi hii post inakuja kwa lugha tofauti katika kila simu nini? Hio video umeiangalia ukaelewa vizuri kweli?
Timizeni majukumu yenu! Nimeisikiliza ila imenilia MB tu za bureeee! Wallah nimechukia kinoma ,huyo dada km mnafiki hiviiiiiii...ha ha ha haaaa.....
 
Kukosea sio lazima uresort into violence, hao wanaopiga nao hawakosei?? au na wao wakikosea wapigwe?
Ukigundua kila mtu kaumbwa na anger management ya mfumo wa tofauti basi utakuja kuelewa hayo yanatokeaga.

Sio kila mtu ana uvumilivu wa kubamiza mlango na kutoka zake nje kwa kero ambazo ni endless. Endurance levels hutofautiana.
 
Mtu yeyote anayeona ni jukumu la mwanamke kutengeneza familia na sio kujukumu la wote ni mnafiki tuu
Alikuwa mpuuzi hapo ana confess its too late...Jukumu ni la wote ila it doesnt work kama mwanamke ni mgomvi! Na mwenye attitude ya kusindana kama wewe. Wewe unaweza walaza watoto giza siku luku ikiisha sababu baba ndio ana jukumu la kununua umeme ilihali pesa pia unayo kwenye simu.
 
Ukigundua kila mtu kaumbwa na anger management ya mfumo wa tofauti basi utakuja kuelewa hayo yanatokeaga.

Sio kila mtu ana uvumilivu wa kubamiza mlango na kutoka zake nje kwa kero ambazo ni endless. Endurance levels hutofautiana.

hahahahah NONSENSE,yaani una advocate violence kisa anager management tofauti..wale wenye ndoa zao ambao hawapigani vipi anger management zao zikoje?? hovyo
 
Nikipata mwanamke mwenye hekima na busara kama ulizonazo we dada, kiukweli nitaishi maisha ya furaha sana.
 
hahahahah NONSENSE,yaani una advocate violence kisa anager management tofauti..wale wenye ndoa zao ambao hawapigani vipi anger management zao zikoje?? hovyo
Hawapigani sababu amani ipo na heshima! Mwanamke anacheza katika nafasi yake na mwanaume anakuwa at ease mda wote.

Sasa wewe unayetaka kutetea abusive behaviour ya mke ila aachwe asiguswe...mke anakutukana we umuache usimguse sababu ni physical violence. Mke akudhalilishe mbele za watu ila unyamaze usiseme kitu.
 

Thanks my dear!...umeelezea deep and vizuri sana
 
Mnhhhh ila ita work kama mwanaume ni mpigaji?
Concept ni ndogo, ukimpa mwanaume heshima na utii atakupa upendo na kukuthamini.

Generally, nyumba inatawaliwa na amani! Mahitaji makubwa ya mume kwa mke ni psychological ila mahitaji makubwa ya mke ni materialistic. Agree to disagree katika hili ila ndio maisha halisi ya kileo.

Mke akiwa psychologically abuser anaharibu chemistry yote ya upendo na amani. Ndo matokeo yake ni magomvi na mwisho vipigo.
 

Mke atakutukana hivi hivi tuuu...yaani nije kukuambia Extrovert wewe ni mshenzi out of nowhere...maajabu haya...kama wewe unavyosema mtu akimpiga mkewe kuna sababu,pia mtu akimtukana mumewe kuna sababu..sasa mbona mke hakuanza na mangumi bali matusi?
 
How did you raise your concerns? Ulikaa ukaongea kama mtu mzima au ulianza kwa kufoka na makelele as if you are an idiot.
Mke atakutukana hivi hivi tuuu...yaani nije kukuambia Extrovert wewe ni mshenzi out of nowhere...maajabu haya...kama wewe unavyosema mtu akimpiga mkewe kuna sababu,pia mtu akimtukana mumewe kuna sababu..sasa mbona mke hakuanza na mangumi bali matusi?
Mke akiwa psychologically abuser anaharibu chemistry yote ya upendo na amani. Ndo matokeo yake ni magomvi na mwisho vipigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…