Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Mie kwanza tu mwanamke huwa namchukulia kama mtoto always. Akiwa ana kosa huwa mwepesi kumsamehe ila ntamsema sana na huwa sichoki kumsema.

Ndio maana hata mahusiano yangu huwa ya muda mrefu cause namoyo wa huruma sana. But unapofanya vitu vya kingese kama kucheat huwa sina huruma.
Mmhh uko hivyo kweli?
 
Uzoefu unaonesha wanawake wengine kama mleta mada unakuta wana michepuko ya kudumu

Kwa hiyo penzi kwa mume wa ndoa linakuwa limeshakata kabisa!

Yani kuna wanawake wengine anakuwa na mchepuko ambae anamthamini kuliko mume alieko ndani!

Mwanamke mfano anaendesha gari ikigongwa wa kwanza kumwambia ni mchepuko

Yani nimewaona watu wa hivyo ofisini.

Na hata kwenye mazungumzo wanakuwa na mtazamo kama wa mleta mada !
 
Imeandikwa ktk Biblia Takatifu kwe kitabu cha Mithali 31:
Kuna mstari unasema;
“ mke mwema hakusi kuzijua njia za watu wa nyumbani mwake “

Maana yake mke mwema anapswa kujua tabia za kila member of the family,
Ikiwa tabia ni njema awatie moyo na kumentain,
Ikiwa kuna viashiria vya tabia mbaya basi atagundua mapema na kuchukua tahadhari kabla hatari kutoa!
 
Imeandikwa ktk Biblia Takatifu kwe kitabu cha Mithali 31:
Kuna mstari unasema;
“ mke mwema hakusi kuzijua njia za watu wa nyumbani mwake “

Maana yake mke mwema anapswa kujua tabia za kila member of the family,
Ikiwa tabia ni njema awatie moyo na kumentain,
Ikiwa kuna viashiria vya tabia mbaya basi atagundua mapema na kuchukua tahadhari kabla hatari kutoa!

Mke mwema hakosi kuzijua njia za watu wa nyumbani mwake !

Maana yake ukishajua tabia za kila mtu wa nyumbani kwako mwanamke unatakiwa kujua mwenye tabia njema aweze ku mentain,
Mwenye tabia mbaya uweze kumsaidia kuziacha!

Sasa kama mwanamke unabweteka tu unawezaje kujua njia za watu wa nyumbani mwako?
 
Ee kila siku mnabuni mbinu mpya!
Hao wanaojua kutuma email hawatiii stelesi kama hao wengine wanaowaweka kwenye mabeseni na kuwabeba mgongoni
Kwa hiyo wewe unawaogopa wanaotuweka kwenye mabeseni na kutubeba migongoni tu?? In comparison na hawa wenye uchawi wa kizungu???

Eti kila siku mnabuni mbinu mpyaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna mahusiano mengine yamkini mke angeweza kuyastukia mapema pengine hata isingeweza kufika pa mtoto kuzaliwa nje ya ndoa,

Lakini kwa vile baadhi ya wanawake kule kutojali au kule kutosimama kwenye zamu zao ktk ndoa imepelekea mke kujisahau na hivyo kufanya yake mahusiano ya nje kuweka mizizi kiasi cha hata m(wa)toto kuzaliwa bila mke kujua hadi baadae sana!
 
Mimi nimekaa Tanga kidogo, mitaa ya chumbageni kuna mkichaa akiitwa pili magogo, ni mchafu balaaa na bado washkaji na akili zao walimzalisha.

Huwezi amini wala kuelewa kwamba eti yule watu wanamfuata wakimpenda. Hivi umewasikia wale wanaobaka kuku, bata ma mbuzi???
Mkuu mbona unakuwa kama ni mgeni wa mambo? Kwani wewe haujawahi sikia watu wanaenda kwa waganga wanapewa masharti ya kufanya mapenzi na vichaa au kuwazalisha kabisa na wengine wanaambiwa wabake wanyama au ndege?

Wanaume wanaofanya hivyo kwa sababu ya tamaa ni wachache sana na ni lazima na wao watakuwa wamerogwa ila wanaume wengi wanaofanya hivyo yanakuwa ni masharti ya waganga ila ni vile hawawezi kusema tu
 
Back
Top Bottom