Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Wala sijipi matumaini, huo ndio ukweli aiseeNaona unajipa matumaini 😀😀😀
Wala sijipi matumaini, huo ndio ukweli aiseeNaona unajipa matumaini 😀😀😀
Wewe usitake kila mtu aishi kama mimi, unajua mahusiano ynajengwa na mazoea, sasa mazoea yanageuka tabia, mimi sikutaka kuweka hayo mazoea ya kumfatilia Mr since tulipofunga ndoa, kipindi cha uchumba yes nlikua namfatilia just kupata uhakika ni mtu wa namna gani lakini nilipokuja kustudy vizuri nikamwelewa sijawahi kujipa stress, niliamua kumwamini na nikasema ili imani hiyo iendelee sina haja ya kumfatilia as long ananiheshimu na anatimiza wajibu wake kama mume na kama baba wa familia...what else do i needMimi nimewaletea ushuhuda tu unaotoka kwa hajat Mtende
Mwanamke wa nguvu
Kwa hiyo unasema Mtende Amekata tamaa?? Ndio maana akasema hivyo??Dah! bado sijakata tamaa ya hivyo aisee..
Maana ukimuachia utapigwa bonge la sapraizi ukifikiri ni wa kwako peke yako!
Borea ya sitelesi ndogondogo kuliko major knock out
Neno langu sio sheria, hata nkitaka waishi kama wewe wanaweza wakashindwa. Ila maono yangu ndio hoja, I feel like decision yako is always being taken by those who are in the game for pretty long and they understand the techniques and patterns of it.Wewe usitake kila mtu aishi kama mimi, unajua mahusiano ynajengwa na mazoea, sasa mazoea yanageuka tabia, mimi sikutaka kuweka hayo mazoea ya kumfatilia Mr since tulipofunga ndoa, kipindi cha uchumba yes nlikua namfatilia just kupata uhakika ni mtu wa namna gani lakini nilipokuja kustudy vizuri nikamwelewa sijawahi kujipa stress, niliamua kumwamini na nikasema ili imani hiyo iendelee sina haja ya kumfatilia as long ananiheshimu na anatimiza wajibu wake kama mume na kama baba wa familia...what else do i need
Unafaa sana wewe ivi umeshaolewa !!!Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?
Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?
Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.
Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
Sijakata tamaa ni kumwamini tu na kumpenda...kama angekua ananivunjia heshima au anashindwa kuwajibika kwangu na kwa watoto basi ninvemtilia mashaka...ila unajua all men are cheaters in nature sema tu huwa wanajificha kulinda heshima za ndoa zao...kwa hiyo ukisema umfatilie unaweza jikuta unaomba talaka...Kwa hiyo unasema Mtende Amekata tamaa?? Ndio maana akasema hivyo??
Big up!!!Sijakata tamaa ni kumwamini tu na kumpenda...kama angekua ananivunjia heshima au anashindwa kuwajibika kwangu na kwa watoto basi ninvemtilia mashaka...ila unajua all men are cheaters in nature sema tu huwa wanajificha kulinda heshima za ndoa zao...kwa hiyo ukisema umfatilie unaweza jikuta unaomba talaka...
Binadamu hachungwi...halafu tena ukijifanya kumchunga mwanaume ndio unamfanya achepuke...mpe uhuru...atakua anaona aibu mwenyewe tena atakulindia heshima...wanaume wanapenda uhuru na kuheshimkwa sio unamfatafata kama mtoto mdogo mie hata siwezi kumfatilia...watoto wetu wanne huwa nawafatilia haipiti mwezi sijaenda shuleni kwao kufatilia maendeleo yao sasa pata picha unafatilia na mume juu
Jamani kwani mimi si nimekuuliza tu. HahaahahahahhaNa wewe usinilishe maneno..
Hiyo inaitwa "Uchochezi"
oki doki missezBabe this is my friend Relief
Mchokozi chokozi tu wewe!Jamani kwani mimi si nimekuuliza tu. Hahaahahahahha
Aise wanawake wote wangekua kama wewe hakuna ndoa ingesumbuaMmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?
Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?
Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.
Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
Mbona unanifikiria vibaya?? Duh! Wengine tuna bahati mbaya sanaMchokozi chokozi tu wewe!
Yaani tena wewe ukikaribia tu simu yako nakwapua nachekii...😁Mbona unanifikiria vibaya?? Duh! Wengine tuna bahati mbaya sana
😀😀😀😀😀😀😀😀Yaani tena wewe ukikaribia tu simu yako nakwapua nachekii...😁
Ahaaa! sasa unaficha nini?😀😀😀😀😀😀😀😀
Mara paaap kila nkirudi kutoka job huwa ina pattern mpya. That tends to be my routine, I never forget 😀😀😀😀😀😀
Kwani wewe unataka kuona nini???Ahaaa! sasa unaficha nini?
🤣🤣🤣 Nataka kutokuona kitu humo ndani!Kwani wewe unataka kuona nini???
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nataka kutokuona kitu humo ndani!