mgaya chacha
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 499
- 657
Ila hao mbwa wakati ukifika unawabinukia waishushe hamu yako.Ila kweli hata mm nikipataga kamshahara kangu nawaonaga kama ma'mbwa tuu
Hahhaha natania sipo hivyo![]()
![]()
Ila hao mbwa wakati ukifika unawabinukia waishushe hamu yako.Ila kweli hata mm nikipataga kamshahara kangu nawaonaga kama ma'mbwa tuu
Hahhaha natania sipo hivyo![]()
![]()
Riziki anapanga Mungu!Hahhah! Mmezidi na nyie unakubalije mpaka mwanamke anakuzidi kipato
Ila asiwe na kibamia!Nani kakudanganya mwanamke akiwa ana pesa hana haja Na wanaume we njoo kwenye maeneo ya beach huku uone majimama yenye pesa yanatanua Na vijana. Kuna apartments zinalipiwa Kwa mwezi mama anakuja Na mwanaume wake jioni anarudi Kwa mmewe.
Time will tell. Babu utabeba sana pochiUtasubiri sana...
Usiutetee uzembe wakoRiziki anapanga Mungu!
Kesho nakuletea "Chuo kidogo cha sala" Sitaki kwenda mbinguni peke yangu...Ninasoma Misale hubby huko siji.
Kuhongwa Raha, nikiwa chuo kuna mshamba katoka Kantalamba Sumbawanga, kanifukuzia weeeee, alipoona kagonga mwamba, akaniletea magunia matatu ya mahindi, nikamwambia akayauze sina pa kuyaweka. Leo kawa mjanja, utamjua?Sitamani tu napenda
Kivuruge mbinguni ukafanye nini? Unawanajisi malaika bure, Na walivyo warembo, lohKesho nakuletea "Chuo kidogo cha sala" Sitaki kwenda mbinguni peke yangu...
Rudi nyuma shetani...Kivuruge mbinguni ukafanye nini? Unawanajisi malaika bure, Na walivyo warembo, loh
Anhaaa, kumbe?Kuhongwa Raha, nikiwa chuo kuna mshamba katoka Kantalamba Sumbawanga, kanifukuzia weeeee, alipoona kagonga mwamba, akaniletea magunia matatu ya mahindi, nikamwambia akayauze sina pa kuyaweka. Leo kawa mjanja, utamjua?
Yuda, kweli wewe ni wa kumkemea Petro?Rudi nyuma shetani...
Babu baada ya Moshi tech hukwenda Kantalamba?Anhaaa, kumbe?
Imeandikwa, usimjaribu Bwana Mungu wako.Yuda, kweli wewe ni wa kumkemea Petro?
Kweli nyani haoni kundule
Mmmmmhhh???Babu baada ya Moshi tech hukwenda Kantalamba?
Nishike mkono, I'm speechlessKama utaona inafaa, waweza kuondoka na mimi pia.