ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 17,456
- 67,408
Mimi huko sipo ayseeNi kweli ndio maana hakuna mapenzi ya dhati mpo tayari kutoa uhai wa mtu ili mpate pesa.
Mimi huko sipo ayseeNi kweli ndio maana hakuna mapenzi ya dhati mpo tayari kutoa uhai wa mtu ili mpate pesa.
uko wapi?Mimi huko sipo aysee
Umekutwa na nini mkuu mpaka umekuja na hitimisho hilo!?Tofauti kati ya mwanamke Na mwanaume mwenye pesa ni moja tu.
Mwanaume akiwa Na pesa anakusanya lundo la wanawake.
Mwanamke akiwa Na pesa haja ya wanaume hupotea kabisa, yaani wanaume anawaona kama migambo tu.
Hao ndo wanawake, usikmbee wapate hela, watakunyanyasa Na kuudhalilisha Utu wako
Mnh nimelipenda jina lako bure. Kama we ni KE na linasadifu biology yako itapendeza zaidiVibamia halafu mnaleta kiburi. Ukiwa Na kibamia kuwa mtii Na mnyenyekevu
Mbona hujuti km jina lako sasa?Hii imenigusa
KatendwaUmekutwa na nini mkuu mpaka umekuja na hitimisho hilo!?
Kumbe mnanyegeshwa na pesa zatu!!Raha ya mahusiano mwanaume akuzid pesa bhana ....... Sasa eti mim niwe na pesa kuliko mpenz wangu daaaah cjui hata kama nitakuwa napata nye..ge !!!
Mnh...nimeijua leo aiseeNimecheka sana nilipoona post ya Uchebe anafurahia kumpa mimba Shilole halafu anamwomba afanye kazi kwa bidii ili watunze hela za kuhudumia mimba na mtoto akizaliwa...Ila uchebe na shilole wao wako tofauti kidogo na utafiti wako sijui kwanini.......??
Yalinikuta so naamin hayaKtk yoteeeeee ,usiombe mwanamke apate pesa aiseee wanakuaga na Dharau hao balaa .
Ila ndo ivo .
Kweli kabisaPesa ya mwanamke ni ya watoto wake that's it!
Mmmhhh !!!, Sio vizuri lakini.Na kamweee hatutaacha roho mbayaaa
Kwani jike shupa aliimbiwa Nani vile?Ila uchebe na shilole wao wako tofauti kidogo na utafiti wako sijui kwanini.......??
Atakuwa anamapungufu makubwa sana, hayupo sawa kiakili kabisa.Mbona Uchebe anaenjoy tu jmn!!