Wanawake sio watu wazuri

Wanawake sio watu wazuri

Tofauti kati ya mwanamke Na mwanaume mwenye pesa ni moja tu.
Mwanaume akiwa Na pesa anakusanya lundo la wanawake.
Mwanamke akiwa Na pesa haja ya wanaume hupotea kabisa, yaani wanaume anawaona kama migambo tu.
Hao ndo wanawake, usikmbee wapate hela, watakunyanyasa Na kuudhalilisha Utu wako

Nani kakudanganya mwanamke akiwa ana pesa hana haja Na wanaume we njoo kwenye maeneo ya beach huku uone majimama yenye pesa yanatanua Na vijana. Kuna apartments zinalipiwa Kwa mwezi mama anakuja Na mwanaume wake jioni anarudi Kwa mmewe.
 
Tofauti kati ya mwanamke Na mwanaume mwenye pesa ni moja tu.
Mwanaume akiwa Na pesa anakusanya lundo la wanawake.
Mwanamke akiwa Na pesa haja ya wanaume hupotea kabisa, yaani wanaume anawaona kama migambo tu.
Hao ndo wanawake, usikmbee wapate hela, watakunyanyasa Na kuudhalilisha Utu wako
Even men are the same bt nadhan hii imetoka na ile methal ya samaki 1 akioza basi wote..

Ila ukichunguza siyo kweli ni baadhi tu na hao baadhi wapo both men & women
 
Mkuu acha utani was uwongo unaoendana na ukweli!😀😀🙁
 
Back
Top Bottom