Wanawake sio watu wazuri

Wanawake sio watu wazuri

Leo umegusa kunako, 2015 nkiwa mwaka wa tatu nkamtafutia mama mtoto job, magu namaliza ajira magumashi, leo mama mtoto hata kuniona hatak kisa kashapanda mpk cheo na maisha yake super si tulosahaulika na neema ya magu ndo kashatuona majuhaaa.. Nmeuchuna km yeye... Tuone mwisho wa 2ku atamwambia baba ake yupo wapi
 
Tayari hapo hana shida ya mwanaume, hapo ana shida ya kukata kiu. Apigwe show nafsi yake iridhike, then hata tena haja Na wewe mpaka atakapo kuhitaji.
Tatizo kubwa la wanawake ni INSECURITY PROBLEM. Kimwili (physically) Na kifedha (financially).
Mwanamke anapopata security ya kifedha, anajua ataweza kufanya lolote.

Power ya pesa ikiwepo utaona watu wanafanana tabia
 
Wanawake Wengi kwa kawaida hawana hela ya nauli kwenda kwa wanaume wao
Lakini wakati akihisi upo na mwanamke mwingine mimi huwa sijui wanatoa wapi nauli utasikia tu anagonga mlango
Hahahaha
Kazi kweli kweli
 
nani kasemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Wanawake Wengi kwa kawaida hawana hela ya nauli kwenda kwa wanaume wao
Lakini wakati akihisi upo na mwanamke mwingine mimi huwa sijui wanatoa wapi nauli utasikia tu anagonga mlango
hahahahahahaahha makubwaaa
 
Tofauti kati ya mwanamke Na mwanaume mwenye pesa ni moja tu.
Mwanaume akiwa Na pesa anakusanya lundo la wanawake.
Mwanamke akiwa Na pesa haja ya wanaume hupotea kabisa, yaani wanaume anawaona kama migambo tu.
Hao ndo wanawake, usikmbee wapate hela, watakunyanyasa Na kuudhalilisha Utu wako
Mmmh mkuu sio wotee,wapo ambao hata mme wake akiwa hana kituu anamtuza vizuri san na wanaamani san
 
Back
Top Bottom