ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 17,456
- 67,408
Sitamani tu napendaKumbe unataman kuhongwa!
Sitamani tu napendaKumbe unataman kuhongwa!
eti mwanamkeKumtii na kumnyenyekea nani?
The Manipulated Man (German: Der Dressierte Mann ) is a 1971 book by author Esther Vilar . The main idea behind the book is that women are not oppressed by men but rather control men to their advantage. A third edition of the book was released in January 2009.
Kwani hujui wanawake ndio wanaongoza kushinda michezo ya kubahatisha?Hahhah! Mmezidi na nyie unakubalije mpaka mwanamke anakuzidi kipato
Tayari hapo hana shida ya mwanaume, hapo ana shida ya kukata kiu. Apigwe show nafsi yake iridhike, then hata tena haja Na wewe mpaka atakapo kuhitaji.Nani kakudanganya mwanamke akiwa ana pesa hana haja Na wanaume we njoo kwenye maeneo ya beach huku uone majimama yenye pesa yanatanua Na vijana.
Kwa hiyo hapa unadhani huyo jimama fedha ana hamu Na heshima kwa Mumewe?Kuna apartments zinalipiwa Kwa mwezi mama anakuja Na mwanaume wake jioni anarudi Kwa mmewe.
Well saidKweli mwanamke wa kwanza anayekujali mama yako mzazi wa pili ni mtoto wako wa kike wa tatu ni dada yako tumbo moja pwa nne na mwisho ni mke wako
Kama nina hela kuliko wewe nikuheshimu ili iweje? Kwendra hukoHata upigwe mtalimbo wa nguvu
Mkipata vijisenti mna dharau
Duuuuh ! Kweli aiseeShida yao ni pesa sio wanaume na sie shida yetu ni wao sio pesa
Ukipata hela njoo u comment. We are the deadliest devils.Uongo mtupuu
Hao jamaa walitia fora aiseeAsprin mkeo yuko huku kaweka Kambi ya kudumu utadhani mwana Sabato Masalia yuko airport, hana visa Wala passport Wala ticket anataka kwenda Ulaya eti akahubiri, utadhani Hellen G White alitokea Kantalamba
Sabato Masalia ni nomaHao jamaa walitia fora aisee
Sabato Masalia ni nomaHao jamaa walitia fora aisee
Hata kama nina kinukuta badala ya kibamia ukileta dharau sirudi nyuma Sina mjadala na mwanamke mwenye dharau uwe na hela uwe mzuri kama malaika dharau kwa no chance.Vibamia halafu mnaleta kiburi. Ukiwa Na kibamia kuwa mtii Na mnyenyekevu
Shosti Bado una chora katuni?Na kamweee hatutaacha roho mbayaaa
Maisha yako yote usikubali mwanamke akuzidi kipato, utakuwa uselessHata kama nina kinukuta badala ya kibamia ukileta dharau sirudi nyuma Sina mjadala na mwanamke mwenye dharau uwe na hela uwe mzuri kama malaika dharau kwa no chance.