Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
Hata yule dada ana tabia hio hio.
Kama mgao wa umemeMwanamke mwenye pesa ana roho mbaya Zaid ya shetani,kama wewe ndie umemuoa af huna mchongo basi hesabu umeolewa rafiki maana ata papuchi utaipata kwa mgao
Msamehe tu swankNdo keshanitukana lakini
TushayamalizaMsamehe tu swank
Nakupenda atiiTangulia mdogo wangu
Nimevutiwa na kitabu. Shukrani mkuu
DuuuRaha ya mahusiano mwanaume akuzid pesa bhana ....... Sasa eti mim niwe na pesa kuliko mpenz wangu daaaah cjui hata kama nitakuwa napata nye..ge !!!
Nakupenda piaNakupenda atii
Sio wanawake wote..wanawake wenye tabia hizo wanakuwa ni aina flan ambayo wanakuwa wanajisikia na wana ulimbukeni wa pesaTofauti kati ya mwanamke Na mwanaume mwenye pesa ni moja tu.
Mwanaume akiwa Na pesa anakusanya lundo la wanawake.
Mwanamke akiwa Na pesa haja ya wanaume hupotea kabisa, yaani wanaume anawaona kama migambo tu.
Hao ndo wanawake, usikmbee wapate hela, watakunyanyasa Na kuudhalilisha Utu wako
Nimevutiwa na kitabu. Shukrani mkuu
Kumbe nawe una roho mbaya!Na kamweee hatutaacha roho mbayaaa
Kumtii na kumnyenyekea nani?Vibamia halafu mnaleta kiburi. Ukiwa Na kibamia kuwa mtii Na mnyenyekevu
Kumbe unataman kuhongwa!Kama nyie mlivyo nazo mbaya hamtaki kutuhonga na sie tukipata lazima tuwe mara 100 yenu
Tena wala siyo pesa nyingiKtk yoteeeeee ,usiombe mwanamke apate pesa aiseee wanakuaga na Dharau hao balaa .
Ila ndo ivo .