Wanawake sio watu wazuri

Wanawake sio watu wazuri

Biblia inasema "enyi wanawake watiini waume zenu" nashindwa kuelewa mwanaume kumtii mwanamke kauli hii wanaitoa wap
Tunafata maneno ya hayati baba wataifa "utii ukizidi ni uoga"
 
Tunafata maneno ya hayati baba wataifa "utii ukizidi ni uoga"
Si kweli, mnatakiwa kutii kama vitabu vinavyo sema na sio kauli za viongozi, kwa maana hiyo leo kiongozi akisema wanawake wapigeni waume zenu mko tayari?
 
Tatizo wanaume wengi hawapendi wanawake wa level zao
 
Si kweli, mnatakiwa kutii kama vitabu vinavyo sema na sio kauli za viongozi, kwa maana hiyo leo kiongozi akisema wanawake wapigeni waume zenu mko tayari?
Hapana mkuu unaangalia na chenye manufaa
 
Hao viumbe wanatakiwa wawe chini kiuchumi. Wakiwa juu hakuna amani hata kwenye mahusiano
 
Daah
Kuhongwa Raha, nikiwa chuo kuna mshamba katoka Kantalamba Sumbawanga, kanifukuzia weeeee, alipoona kagonga mwamba, akaniletea magunia matatu ya mahindi, nikamwambia akayauze sina pa kuyaweka. Leo kawa mjanja, utamjua?
Daah hiyo kali
 
Back
Top Bottom