binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,136
- 34,468
Umemjumuisha na mamayo, dadazo je? Mashangazi vipi?Wengi wakishachakaa wanataka harusi kubwaaa dunia nzima ijue....mwanamke kama bamia likikomaa halina thamani
Umemjumuisha na mamayo, dadazo je? Mashangazi vipi?Wengi wakishachakaa wanataka harusi kubwaaa dunia nzima ijue....mwanamke kama bamia likikomaa halina thamani
Amekukataa kwasababu hakutaki sio amekukataa kwasababu ana 23.Mmoja ana 23 kanikataa!!
sio bure, hili limetupwa gizani na tayar limekupata kwa maana jins unavyotapa tapa hivyo mmmh. taratibu tu omba yule mzee wa miaka 60 afiwe na mkewe ili akuoe.Ingekuwa Kuolewa ni kama kuku basi wasichana tungeolewa sana. basi hamna haja ya kupenda,mtu akikutamkia tu unaolewa.duuuu wanaume mnachonga sana.mkikataliwa tu mnakuja kulialia humu.
Ukisikia yalaaa ujue limempata mtu tayariHaya ni maisha, sidhani kama kuna formula katika kuyaishi, maisha yako si ya mwingine and vice versa, kila mtu ataishi atakavyo. Relax.
Mada ikiletwa lazima ijadiliwe na katika mjadala usitegemee majibu ya kufanana, kukubali kila kitu kama kilivyo ni matumizi mabaya ya ubongo.Ukisikia yalaaa ujue limempata mtu tayari
Eti nature msyuuuuBible hairuhusu mwanaume kuchepuka ila ni nature ya mwanaume yoyote yule japo katika uchepukaji tunatofautiana wengine kwa kificho na wengine kwa kujiachia na hi isikufanye wewe ukate tamaa ya kuolewa
Mnapenda excuses nyie watu.Dear read well my message and then find any area that said its my life and it is for all women... Then you can answer the way you answered... Because the last time I checked didnt find nilichokuuliza now mmpaka ukajibu , ulivyojibu.. You dont need to quote me in everything that naandika... So you are the one who needs to Relax... Thanks..Haya ni maisha, sidhani kama kuna formula katika kuyaishi, maisha yako si ya mwingine and vice versa, kila mtu ataishi atakavyo. Relax.
We ukijiskia una huruma sana na waona mtu haoi au kuolewa basi mpe huyo mumeo au mkeo awe mwenza wake halafu we kamtafute mwingine
spare me my ribs please!We mwanaume ulionae hachepuki?Eti nature msyuuuuMnapenda excuses nyie watu.
Kama anachepuka ninini kinafanya uone ni nature? Au unahalalisha uchepukaji kwa kutumia neno "nature".We mwanaume ulionae hachepuki?
We mleta mada nilikuambia usichokoze nyuki haya ona sasaMsiwape watu stress, kama hajakupenda basi kubali haujapendwa...sio sababu una ahaidi ndoa ndo ajilazimishe kuolewa na wewe. Unajuaje na huyo mwingine hajamwambia anataka kumuoa kama wewe unavyosema.
They will marry when and who they want.
Hizi topic mkawaambie dada zenu nadhani ndo hawana haki ya kupenda au kuchagua wanachopenda.
Hakuna heshima ya mwanamke hata aweje kama hajaolewa, hata awe na miaka 45 hajaolewa na bint Ana 22 kaolewa basi jamii inampa heshima zaidi bint wa 22 kuzidi huyu mwenye 45 Ndio inaheshima yake bwana
HahahahaAmekukataa kwasababu hakutaki sio amekukataa kwasababu ana 23.

Wengi wakishachakaa wanataka harusi kubwaaa dunia nzima ijue....mwanamke kama bamia likikomaa halina thamani
Anakula asali sasaWe mleta mada nilikuambia usichokoze nyuki haya ona sasa
Soko huria linaitwaMmoja ana 23 kanikataa!!
Hakuna heshima ya mwanamke hata aweje kama hajaolewa, hata awe na miaka 45 hajaolewa na bint Ana 22 kaolewa basi jamii inampa heshima zaidi bint wa 22 kuzidi huyu mwenye 45 Ndio inaheshima yake bwana
Ni nature kwa sababu ni kitu ambacho kipo kwenye damu,mi sihalalishi ila najaribu kusema ukweli uliopoKama anachepuka ninini kinafanya uone ni nature? Au unahalalisha uchepukaji kwa kutumia neno "nature".
.Kwa nini ubakwe eti kuiogopa miaka 30? Huko ni kubakwa hakuna upendo wa mbele kwa mbele