Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

Kama anachepuka ninini kinafanya uone ni nature? Au unahalalisha uchepukaji kwa kutumia neno "nature".

Sijui kwanini mtu una argue tu huku hauna utetezi wa unacho argue... eti nature, eti kucheat iko kwenye damu, ndio nini sasa?
Eti wapo wanao cheat kwa kujionyesha na wanao cheat kwa kujificha...hapa naona anamaanisha wanaojificha ni bora zaidi ya wale wanaojionyesha... Hawa ndio wale ambao wana cheat, lakini mkewe aki cheat dunia inageuka sio mahali salama...khaa
 
Sijui kwanini mtu una argue tu huku hauna utetezi wa unacho argue... eti nature, eti kucheat iko kwenye damu, ndio nini sasa?
Eti wapo wanao cheat kwa kujionyesha na wanao cheat kwa kujificha...hapa naona anamaanisha wanaojificha ni bora zaidi ya wale wanaojionyesha... Hawa ndio wale ambao wana cheat, lakini mkewe aki cheat dunia inageuka sio mahali salama...khaa
Na hao ndio wanaume zetu utasikia kucheat ni nature alaaaaa!
 
kuna headmaster anasakwa huko singida ''mkalama'' anakula watoto wake.atakaye muona atoe taarifa sawa?
 
Good for you, kwanini sasa utukane wamama, wadada na mashangazi wa wenzio?
Umepanic, wengi hamtaki ndoa ila mnapenda uzinzi halafu baadae mwaja katika late 30's kutaka dunia itambue umepata mume kwa promo kubwa, kiki inatafutwa baada ya muda kuwapita. Ni mtizamo tu.
 
Umepanic, wengi hamtaki ndoa ila mnapenda uzinzi halafu baadae mwaja katika late 30's kutaka dunia itambue umepata mume kwa promo kubwa, kiki inatafutwa baada ya muda kuwapita. Ni mtizamo tu.
Its too low for my panic button,
Btw kama wewe umeshaoa/Umeolewa kwanini unawahangaikia? je wanakuathiri kwa namna yoyote, Hebu relax. Byee
 
Nope tatizo sio kuhangakia, tatizo hujengi jamii nzuri iwapo watu wanaona uzinzi una nafasi kwanza kabla ya ndoa
 
ndio maana sheria inasema akiwa na miaka 15 anatakiwa aolewe maana kula umri unavyokwenda matumaini ya kuolewa yanapotea
 
yah... na mie akitokea fairy godmother akini grant three wishes, nitamuomba anipatie uwezo wa kuikimbia jamii kama hiyo, nitakuwa naenda tu kuitembelea hiyo jamii, lakini sio kuishi nayo.
Me nashangaaga watu wanamsema jamii jamii... Kwani wewe sio sehemu ya jamii? Kwanini uendelee kushikilia mambo yasiyo na msingi? Kwanini wengine waamue viwango vya jamii lakini sio wewe?

Kuna watu wameumbwa kufugwa kama kondoo.

Kwanza mwanaume anayeongelea jamii mimi hanivutii... He's so beta. Get me the alpha who makes the darn rules.
 
Mapinduzi ya kiuchumi besti, lazima yaende parallel na mapinduzi ya kifikra. It is very simple, huwezi kupigia debe swala la kujikomboa kiuchumi while at the same time, unapigia debe swala la kumuoa binti akiwa 20yrs old bado hajajitambua na bado yuko kwenye harakati za kujiendeleza kielimu na kiuchumi, eti tu kwasababu wewe ni mwanamme utamtimizia kila kitu. Huwezi kuwa mwanaharakati wa maendeleo kama bado unafikra kwamba eti mwanamke akiwa 30yrs old, eti amechoka, amezeeka, eti ameshapigwa pum*****u sana kwa hiyo amekwisha.

It is still a mans world besti...

Aisee the correlation is real. I never looked at it this way!

Kweli umaskini umeanzia mbali sana. Eti mwanamke aliyesoma hafai kuolewa . Kwa kweli kuna watu just doomed to poverty.
 
Me nashangaaga watu wanamsema jamii jamii... Kwani wewe sio sehemu ya jamii? Kwanini uendelee kushikilia mambo yasiyo na msingi? Kwanini wengine waamue viwango vya jamii lakini sio wewe?

Kuna watu wameumbwa kufugwa kama kondoo.

Kwanza mwanaume anayeongelea jamii mimi hanivutii... He's so beta. Get me the alpha who makes the darn rules.

Cognitive dissonance?
 
housegirl, Hello besti!

Mapinduzi ya kiuchumi besti, lazima yaende parallel na mapinduzi ya kifikra. It is very simple, huwezi kupigia debe swala la kujikomboa kiuchumi while at the same time, unapigia debe swala la kumuoa binti akiwa 20yrs old bado hajajitambua na bado yuko kwenye harakati za kujiendeleza kielimu na kiuchumi, eti tu kwasababu wewe ni mwanamme utamtimizia kila kitu. Huwezi kuwa mwanaharakati wa maendeleo kama bado unafikra kwamba eti mwanamke akiwa 30yrs old, eti amechoka, amezeeka, eti ameshapigwa pum*****u sana kwa hiyo amekwisha.

It is still a mans world besti...but it would be nothing, nothing without a woman...hahahaha...and we women, will deal with them accordingly... teh teh teh...

"Mapinduzi ya kiuchumi besti, lazima yaende parallel na mapinduzi ya kifikra."

Marry me Kay...i'm carried away with your wisdom
 
"Mapinduzi ya kiuchumi besti, lazima yaende parallel na mapinduzi ya kifikra."

Marry me Kay...i'm carried away with your wisdom

hahahaha... my first marriage proposal hapa JF.... if we are to go with theme of the post, it means, i'll have to accept your offer aisee.

On a serious note though... it is sad that women have to go through life constantly fighting stereotypes.
 
MVulana haoi, bali mwanaume ndo anayeoa wewe! Halafu kwani wamekwambia wote wanataka kuolewa?
 
Back
Top Bottom