serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,354
- 4,761
Kuringa?? Uko 25 yrs and you have a ring on your nose instead of your finger...are you a bull??Mwanamke kuringa bana
Hebu na mtuwache... Eboo!
Kuringa?? Uko 25 yrs and you have a ring on your nose instead of your finger...are you a bull??Mwanamke kuringa bana
Hebu na mtuwache... Eboo!
Sasa hapo ndio umesemaje?Kuringa?? Uko 25 yrs and you have a ring on your nose instead of your finger...are you a bull??
JF kuna special women mkuu sio wale tunaosumbuana nao huku uswazi.Hayafai kusemwa huku, wenyewe wakipita (kama wapo) watajisikia vibaya. Ila sioni utetezi wa mitandaoni ukiendana na maisha tunayoishi (huku mabwepande).
HahahhKuna mijitu inapenda kujifariji.
You'll see whatever you want. You seem to be the desperate one, wanting these women so bad but you can't have them.
Mtu kajiendea kwenye harusi, kisa hajaolewa watu mnajipa moyo kuwa yuko desperate.
EBO!
Hahahh
Nipo na mke wang ndan.
Naombeni ushauri kuhusu kozi za kusoma Chuo Kikuu
Huyo mke ulimpata kabla au baada ya kumaliza form 6 mwaka 2015?
M nishamaliza chuo zaman sana.Naombeni ushauri kuhusu kozi za kusoma Chuo Kikuu
Huyo mke ulimpata kabla au baada ya kumaliza form 6 mwaka 2015?
Ndomana tunasemaga kila siku... Ukiiangalia mijanaume yenyewe inayokaa kusema hawa wanawake utatema tu mate.Waaay to go sis... hahahahahahaha...whaoooo, you are brilliant!!!
Sasa hapa ni nani hazitaki mbichi hizi!? khaaaa!! Kaaaaazi kweli kweli.
Ndomana tunasemaga kila siku... Ukiiangalia mijanaume yenyewe inayokaa kusema hawa wanawake utatema tu mate.
Sasa hiki kivulana cha form six hakijui hata kisome nini chuo na chenyewe kinalalamika wanawake Hawa wana high standards,!
Heh!!
#Mijanaume #vivulanaWaaay to go sis... hahahahahahaha...whaoooo, you are brilliant!!!
Sasa hapa ni nani hazitaki mbichi hizi!? khaaaa!! Kaaaaazi kweli kweli.
Teh da irene ametisha sana#Mijanaume #vivulana
Hahaha kwa raha zetu na mtuwacheee. Muda wa ombi maalum bado hadi 40

#Mijanaume #vivulana