Hii iwe two way traffic.
Na sie pia twapenda muwapo nyumbani mvae vizuri na kunukia perfume.
Kama najiona nikitoka mishe huko dera liko wapi hata sidiria sivai ziwa linacheza segere tu kifuani, halafu Kuna Yale Madera ya kushindia yamepauka π€£π€£π€£π€£ dah, Yale yaliyoiva mapya mapya eti yakutokea.
Kila siku out ahhhNdiyo maana kuna kutoana out. Kama unataka apendeze mpeleka dinner, kanisani au hata kwenye sherehe.
Nyie ndio huwa mnajifanya wakax hata romance mnajifanya hampendi eti ni uchafu. Mkiwa ndani na mke wako unajifanya mgumu eti unapiga story za maisha - kufanya ma-project makubwa n.k ila muda wa ku-socialize na mkeo huna.Utoto raha sana
Kuna la kujifunza kupitia huu uzi
You nailed it. Huu uzi nimeusoma wote na ku-like kila useful comment. However, nimeona kuwa wanaume wengi wanapenda wake zao wawe natural. Haya mawigi wanasema ni uchafu.Habari za Jumapili.
Nikiwa nimetulia ndani jioni namuona mamsap akirudi toka kwenye mishe. Pia alipitia saluni. Katengeneza nywele zake vizuri anavutia kumtazama
Sasa ujinga ni kuwa kufika tu kachukua kilemba kafungia nywele humo kazibania vizuri hata isionekane hata moja! Hapo tayari kuanza mishe za nyumbani. Ule mvuto aliokuja nao ukatoweka.
Ikifika asubuhi anajikwatua tena na kuziachia vizuri tayari kwenda kazini. Huko anakutana na wenzake. Mabosi, vijana, wababa, wapita njia, n.k. Wote kwa nyakati tofauti wanavutiwa nae kwa muonekano ambao alipokuwa nyumbani aliuficha.
Jioni inafika tena anafika nyumbani na kujitupia tambara lake kichwani. Tena anaweza kutafuta na nguo nguo huko akajitupia kisha akaendelea na mishe za nyumbani.
Kwa hali hii hamasa itakuwepo? Hakika yatabakia mazoea tu.
Tena kubwa sana ili kujenga ndoa zilizo bora.
Simama katika nafasi yako Mkuu, ni vyema zaidiKama kuna watoto?.
Na hamna houseboy?.
uzuri gharama
Ndo wanafunga lemba ss mnaanza kulalamikaSimama katika nafasi yako Mkuu, ni vyema zaidi
Ndio, ukishamaliza ...unaoga vizuri, unapuliza ile body spray yako, piga kile kimini/ taiti yako, nenda kacheze na mwenzio hata kama anadai amechoka mrukie rukie m'seduce mpaka ashangae huyu leo kawejeπππNdo wanafunga lemba ss mnaanza kulalamika
unafkr utadeki na kupika na nywele za kuning'inia?.
Hahahhah auntie usikatae bwana hizo sifa unazopewa
Mishe nyingi nzito keshafanya dada wa kazi. Pia hata kama amemaliza bado anajisiliba tu vilemba na nguo fulani fulani hivi 'za kushindia'Ndo wanafunga lemba ss mnaanza kulalamika
unafkr utadeki na kupika na nywele za kuning'inia?.
Aaah auntie sifa za uongo sizipokei.
Jamani jamani mafuta ya wanyama tena!!Ndio hekma ya Uislam, mwanamke ajistiri, avae stara na akiwa kwake na mumewe ajiachie sasa imekua kinyume chake, akiwa na watu huko nje ndio atapaka poda, akirejea home anapaka mafuta ya wanyama
Bahati mbaya sana wengine ndio wakijua humgusi ndio anajipigilia hasa hayo matakataka, kama anakukomoa vileUpo sahihi mm mke wangu akiweka matakataka yake kichwani wala sihangaiki hata kumgusa....
ila akiyatoa akibaki na natural hair.....
huwa namshambulia balaa....