Wanawake na style mpya ya kujifungua

Wanawake na style mpya ya kujifungua

Unajua uchungu unavouma wengine wakifinywa tu huona ohoo bora nipasuliwe, na kwa private hosp nyingi hufurahia hii kwa sababu mshiko unazidi.
 
kimsingi tafiti hii ina ukweli, wanawake wengi wa mjini wanajifungua kwa operation, sababu;

1. wanapenda wenyewe, as ulimbuken.., eti hataki kuharibika kule mahara, na akishazaa wengine wanakataa hata kunyonyesha.
2. ni wadhaifu, as kazi za mjini haziwapi fursa ya kufanya mazoezi na hivo kushindwa ku-push wakati wa kuzaa. (vijijini mtu ana mimba lakin shamban anaenda, kubeba maji, kuni, mpaka wengine hujifungulia kisimani walikofata maji)
3. mambo ya kabaang mjin ndo yemeshamiri sana, waumin wa hiyo kitu hawawez kupush kabisa.
4. uhaba wa madactari vijijini, utakuta mtu ilibidi afanyiwe upasuaji, lakin kwakuwa doctor ni mmoja naye kaenda kwenye kikao mkoani, basi watajilazimisha kupush tu mpaka azae.
5. pengine ni deal la hospital binafsi kujipatia hela nyingi, maana anajua ukifanya upasuaji utalipa zaidi.

nadhan haya yanachangia pia,.
(mniombee jaman, mwez ujao mke wangu ndo muda unafika, sipendi operation kabisa)
 

wapo wanaotaka wafanyiwe opereshen
mi nilishuhudia rafiki yangu,eti anaogopa
uke utatanuka kitu ambacho si kweli,kwanza
operesheni ni kilema hawajui tu!!kupush ndio mpango mzima alaaa!!
 
Kwani akiwa mke wa bachkam ndio sio limbungeni? Kwani yy Msaafu au Biblia?

...si ndo hapo! Anafikiri sbb ana hela, kumbe hajui hata hapa bongo kuna watu wanahela zao bt wanaelewa madhara yake

...mimi ctaki kabisa kuckia hyo kitu nitazaa kawaida kwa jina la Mungu
 
Hospitali ya Madonna tabata ukienda hata kama njia ya mtoto ni kubwa kama ndoo ni lazima wakufanyie operation.Hilo ulilolisema ni kweli ndugu.
 
Jaman na hizo hoja zenu kweli inawezekana ni sahihi ila pia suala la 0713 nalo ni tatizo kubwa linasababsha watu washndwe kupush na sku iz ukipata ambae hatoi tigo ujue kakunyma wewe kwa saabu ya ubwege wako ila more than 80 % hawa wa mjini wanatoa iyo kitu ingawaje ukiwagusia fest tym viisho na maneno meeengi kuwa sijawi, sijui ntakutukana kumbe uongo mtupu. shime tujiepush na tigo ina madhara kwenye vibofu kama unenda dry.
 
Jaman na hizo hoja zenu kweli inawezekana ni sahihi ila pia suala la 0713 nalo ni tatizo kubwa linasababsha watu washndwe kupush na sku iz ukipata ambae hatoi tigo ujue kakunyma wewe kwa saabu ya ubwege wako ila more than 80 % hawa wa mjini wanatoa iyo kitu ingawaje ukiwagusia fest tym viisho na maneno meeengi kuwa sijawi, sijui ntakutukana kumbe uongo mtupu. shime tujiepush na tigo ina madhara kwenye vibofu kama unenda dry.

Duuuuuuu hi ni hatari. Sodoma na Gomola
 
si kweli ... ukila vizuri na kujipanga, unaweza mnyonyesha mtoto vizuri tu

Ww unacheza kwani umesikia wanashindwa kunyonyesha kwavile hawali vizuri? Who told u?
...ok ngoja nikupe mfano, (ondoa wenye matatizo ya kiafya) .....unakaa mbezi,kimara, goms,mbagala etc, umeajiriwa,ofisi posta,unaondoka nyumbani saa 11 alfajiri,kurudi saa 3 usiku..haya tuambie, huyo mtt aliyenyonya saa 10 usiku anakuja kunyonya tena sa 3 au 4 usiku tena mama akiwa amechoka inakuwaje hapo!?
Huo muda wote anaobaki na dada wht do u expect,maziwa gani anatumia km sio ya kopo hapo?
Na hyo ndo styl ya wadada wengi coz of lyf!
Haya tuambie unajipangaje?
 
Ww unacheza kwani umesikia wanashindwa kunyonyesha kwavile hawali vizuri? Who told u?
...ok ngoja nikupe mfano, (ondoa wenye matatizo ya kiafya) .....unakaa mbezi,kimara, goms,mbagala etc, umeajiriwa,ofisi posta,unaondoka nyumbani saa 11 alfajiri,kurudi saa 3 usiku..haya tuambie, huyo mtt aliyenyonya saa 10 usiku anakuja kunyonya tena sa 3 au 4 usiku tena mama akiwa amechoka inakuwaje hapo!?
Huo muda wote anaobaki na dada wht do u expect,maziwa gani anatumia km sio ya kopo hapo?
Na hyo ndo styl ya wadada wengi coz of lyf!
Haya tuambie unajipangaje?
ukweli mtupu hapo, kwa mijicho yangu hilo nmeshuhudia.
 
Uongo sio dhambi tena siku hizi. Huyo dr wa mizizi ama medical doctor?
Niliwahi msikia pia Dr mmoja kwenye kipindi cha afya ya uza akisema wanawake wengi mijini kwa sasa wanajifungua kwa njia ya upasuaji na sababu kubwa ni kuwa huwa wanafanya mapenzi kwa kutumia njia ya haja kubwa ambayo huwa inauwa misuli ambayo huwa inatumika sana wakati wa kusukuma mtoto.
 
Kwahiyo unataka kuniambia mazoezi yanaurudisha uke uliotanuka kuwa normal?

kama elasticity limit was not exceeded, ni kweli uke unarudi normal. Refer to Robert Hookes law kama ulisoma physics.

hapa labda nieleze kutokana na uzoefu wangu;

Nimetembea na wanawake kadhaa kabla hawajazaa na baada ya kuzaa kwa njia ya kawaida, K zao zilikuwa vilevile hazijabadilika mnato.

Halafu nilishatembea na vitoto vya darasa la saba na form one ambavyo havijazaa wala havijawahi kushika mimba. Hizo K zao zilikuwa pana ajabu yani wamewazidi mama zao wadogo pengine hata mama zao. Mnato wa K ni maumbile ya mtu asilia.
 
Wanawake 21 hufa kila siku wakati wa kujifingua

Katika kipindi cha mwaka 2000 hadi 2012, takwimu zinaonyesha kuwa idadi ya wanawake wanaojifungua kwa njia ya upasuaji imeongezeka kutoka asilimia 19 hadi kufikia asilimia 50. Wakati idadi hiyo ikiongezeka, madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake wa Hospitali ya Muhimbili, wanasema kuwa vifo vya wajawazito bado msalaba mkubwa kwa Taifa.

Takwimu za hivi karibuni nchini zinaonyesha kuwa katika kila mwaka Tanzania inapoteza akina mama 7,900 kutokana na sababu zitokanazo na ujauzito. Idadi hiyo ikigawanywa kwa siku 7,900 kwa siku 365 unapata wastani wa vifo 21.64, sawa na vifo 22 kwa siku.

Ofisa Mawasiliano wa Muungano wa Utepe Mweupe kwa uzazi salama (WR), Lydia Kamwaga anasema wakati taarifa nyingi zimeonyesha bado vituo vingi vya afya havitoi huduma za dharura za uzazi kutokana na ukosefu wa vifaa na kutokuwapo chumba cha upasuaji (theatre).

"Serikali ni miongoni mwa zinazoguswa na vifo vya wajawazito na watoto wachanga, ndiyo maana katika mkakati wake wa kupunguza vifo hivyo, mwaka 2008/2015, iliahidi kuwa ifikapo mwaka 2015, asilimia 50 ya vituo vitatoa huduma za uzazi za dharura, hata hivyo utekelezaji wa ahadi hiyo haujafanyika kwa asilimia 100 kama ilivyotarajiwa," anasema Kamwaga na kuongeza:

"Hivyo, sisi kama wadau wakubwa wa afya ya wajawazito na watoto, yaani Muungano wa Utepe Mweupe Tanzania, tunaikumbusha Serikali kutimiza ahadi hii kwani ina nafasi kubwa sana katika kuokoa maisha ya wajawazito na watoto wachanga."

Wakazi wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha, wanazungumzia kukosekana huduma za dharura katika vituo vya afya mjini humo na kusema kuwa wanaamini changamoto hiyo pia ni moja ya sababu inayochangia vifo vya wajawazito mjini humo kutokana na kuitegemea pekee Hospitali Rufaa ya Tumbi kupata huduma hizo.

" Kweli vituo vya afya vingi bado havijaanza kutoka huduma za dharura za kujifungua. Desemba mwaka jana, nilifika Kituo cha Afya Kongowe, nikaambiwa niende Tumbi, huko wakaniambia wanapokea wa rufaa tu, nikatakiwa kwenda kituo cha afya mkoani," anasema na kuongeza: "Baada ya kupimwa kwenye kituo hicho cha afya, nilibainika kuwa na uchungu, nikalazimika kupelekwa Tumbi ambako hawafanyi upasuaji," anasema Mwanaidi Rashid.

Naye Mratibu wa afya ya mama na mtoto mjini Kibaha, Dk Allan Sayi anasema pamoja na changamoto ya kutokuwapo huduma za dharura katika vituo vingi vya afya mjini humo, bado jamii haitilii mkazo maelekezo wanayopewa kliniki na hasa suala la kuanza mapema kuhudhuria kliniki pindi mama anapohisi ujamzito au uchungu. Dk Sayi amebainisha kuwa wajawazito huanza kwenda kliniki wakati mimba ikiwa tayari ina miezi zaidi ya minne, na wengine wanashikwa na uchungu lakini hawaendi kliniki mapema, badala yake husubiri hadi hali imekuwa ya uchungu zaidi na kuamua kwenda hospotali. Katika mazingira kama haya, mama anaweza kupoteza maisha, mtoto au wote kwa pamoja.

"Lipo tatizo pia katika jamii yetu, mjamzito anakaa nyumbani mimba ina miezi mitano au sita ndiyo anaanza kliniki, wengine wana utamaduni uliopitwa na wakati, anahisi uchungu wa kujifungua kama sio yeye basi mzazi wake ndiyo amwambie, sasa hawa wote wapo katika kundi hatari.

Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Dk Isa Kaniki anasema kituo cha Afya Kongowe na mkoani vipo katika mpango wa kuanza kutoa huduma za dharura za uzazi baadaye mwaka huu mipango ipo katika bajeti ya mwaka huu.

Wanawake 21 hufa kila siku wakati wa kujifingua - Kitaifa - mwananchi.co.tz
 
Siku hizi cesarean section ni optional,,,ukilipa unapasuliwa.Wengine wanafanya kuogopa maumivu na kuchanikachanika kwa k na accesories zingine.Hata cesarea ina madhara yake hasa kwa mtoto.
 
Mjini wengi wao siku hizi ni wanajifunhua kuanzia 30yrs na kazi za mjini hakuna kupasua kuni,kutembea kl10 kufata maji,kulima nk. Sasa unadhani nyonga zitaachiaje ukiumwa kidogo tu ukatapika mbiooo hosp? sikatai ila mjini operesheni itatuhusu sana tuu...
 
Kupush ndio mpango mzima,kama K kutanuka mama zetu wangekuwa hawatamaniki wala nini!Yani upigwe bisu kisa kutunza K kwa ajili ya mwanaume ambaye hata ungekuwa na K ndogo kama nukta hamu ya kuonja hapa na pale atakuwa nayo!!alaaa!!
 
Back
Top Bottom